Acha wawataje tu ila kwa great thinkers wanajuaKwa kuwa hujamtaja huyo "fisadi" umefungua njia kwa watu kama kina Papushikashi kutaja mafisadi wanaowajua. Mtaje ili watu warudi kwenye mada!!
aaaaaaah... Kilewella...upo kamanda naona...mzee wetu wapi siku hizi, au ameshastaaf..Suala ni Pesa na siyo uasili!!
Sisi wengine siyo "Great thinkers" kwa ivo tutajie huyo fisadi. Halafu hujaliona Jukwaa la "great thinkers" wenzako ambako ungeiweka hii mada?Acha wawataje tu ila kwa great thinkers wanajua
Nimestaafu nini ndugu yangu!!aaaaaaah... Kilewella...upo kamanda naona...mzee wetu wapi siku hizi, au ameshastaaf..
0.1+0.4+2-1=1.50.1 +0.4 + 2-1
Hili ni Jukwaa la siasa siyo la Great thinkers!Hili ni jukwaa la Great thinkers kama wewe sio great thinker kaa pembeni
Wito wangu kwa uongozi wa Yanga ni mmoja tu.
wawe waadilifu na kuhakikisha Yanga inarejea kwenye hali yake ya kawaida.
Uhujumu dhidi ya timu hauwezi kubadilisha msimamo wa Serikali dhidi ya ufisadi wa wafadhili wake.
mbinu za kuihujumu timu ili kumfanya fisadi aonekane ni mwema hautasaidia kamwe na badala yake utavuta vyombo vya Serikali kuchunguza juu ya ufisadi ndani ya Yanga kwa nguvu zaidi.
nauliza mzee wetu ka shastaaf au bado..Nimestaafu nini ndugu yangu!!
sisi wanayanga wakongwe hatumtaki fisadiUtakuwa umetumwa na mzee akilimali wewe si bure.
Huyo unayetaka kuwaaminisha wana yanga kuwa ni fisadi si alipelekwa mahakamani na akashinda na kesi nyingine DPP akabwaga manyanga?
Sasa wewe unataka kuleta mambo ya maji taka kwenye ukweli? klabu zetu zinataka watu wenye maono au wenye pesa watakaozimwaga bila uchungu kama huyo unayetaka tuamini kuwa ni fisadi.
By the way wenye tuhuma za ufisadi wapo mahakamani kwa sasa kama kina Rugemalira ,Malinzi nw.
Nsfikiri hii ungeipeleka jukwaa la Michezo sio humuWito wangu kwa uongozi wa Yanga ni mmoja tu.
wawe waadilifu na kuhakikisha Yanga inarejea kwenye hali yake ya kawaida.
Uhujumu dhidi ya timu hauwezi kubadilisha msimamo wa Serikali dhidi ya ufisadi wa wafadhili wake.
mbinu za kuihujumu timu ili kumfanya fisadi aonekane ni mwema hautasaidia kamwe na badala yake utavuta vyombo vya Serikali kuchunguza juu ya ufisadi ndani ya Yanga kwa nguvu zaidi.
Wewe mpuuzi kweli.Wito wangu kwa uongozi wa Yanga ni mmoja tu.
wawe waadilifu na kuhakikisha Yanga inarejea kwenye hali yake ya kawaida.
Uhujumu dhidi ya timu hauwezi kubadilisha msimamo wa Serikali dhidi ya ufisadi wa wafadhili wake.
mbinu za kuihujumu timu ili kumfanya fisadi aonekane ni mwema hautasaidia kamwe na badala yake utavuta vyombo vya Serikali kuchunguza juu ya ufisadi ndani ya Yanga kwa nguvu zaidi.
hahahaha Ngassa..in the house..kaenda kufundisha au kurudia kucheza...?
Kama wewe unamjua na una ushahidi unaasubiri nini kwenda kumshtaki kwenye mahakama ya mafisadiViongozi na wananchi wanamjua
Hakuna hujuma yoyote pale Yanga.Wito wangu kwa uongozi wa Yanga ni mmoja tu.
wawe waadilifu na kuhakikisha Yanga inarejea kwenye hali yake ya kawaida.
Uhujumu dhidi ya timu hauwezi kubadilisha msimamo wa Serikali dhidi ya ufisadi wa wafadhili wake.
mbinu za kuihujumu timu ili kumfanya fisadi aonekane ni mwema hautasaidia kamwe na badala yake utavuta vyombo vya Serikali kuchunguza juu ya ufisadi ndani ya Yanga kwa nguvu zaidi.