Uongozi wa Yanga kuna namna ya kufanya ili msimu uishe vizuri bado hamjaanguka bali mmeteleza tu

Uongozi wa Yanga kuna namna ya kufanya ili msimu uishe vizuri bado hamjaanguka bali mmeteleza tu

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Kimsingi kuna makosa yametokea katika kumtimua Gamondi na kum replace mtu ambaye hana uzoefu wa mashindano ya CAF muda mfupi kuelekea kuanza kwa mashindano.

Mechi ya juzi ya Yanga dhidi ya Al Hilal wapo waliona kuwa pengine angekuwa Gamondi mechi ingekuwa nyepesi lakini sidhani kama ingekuwa nyepesi kihivyo kama watu wanavyofikiria.

Yanga imepata tabu kumaliza mechi dhidi ya Kagera, Ken Gold, KMC, n.k isingekuwa rahisi kuifunga timu yenye professional wengi na kocha mwenye uzoefu Ibenge kirahisi hata kidogo. Tatizo la Yanga msimu huu upo katika kubadilisha nafasi kuwa magoli. Gamondi na Saed wote wanakutana na hali hiyo hiyo. Mechi dhidi ya Al Hilal, Yanga ndio wameongoza kupoteza clear chance kuliko Al Hilal na ndio waliyoongoza katika kutengeneza nafasi nyingi za magoli kuliko Al Hilal. Azizi Ki kawa butu, Dube ndio kabisa,

Sina lawama na huyu kocha mpya kwasababu kuna kitu positive nimekiona kutoka kwake lakini lazima itachukua muda katika hili na mashabiki tunataka mafanikio ya haraka kwa kutetea makombe na kutinga robo fainali ya CAFCL.
Kwasasa kuna mambo kadhaa ya kufanya ili kurudisha mambo kuwa sawa.

1) Daktari wa saikolojia anatakiwa kufanya kazi kubwa sana kuwarudisha wachezaji katika hali ya kawaida. Wachezaji wengi wamevurugika kiakili na kutoka mchezoni. Diarra ni mmoja wapo na wengine wengi tu.

2) kuna umuhimu wa kuondoa mipasuko iliyopo ndani ya timu au ndani ya uongozi. Jengeni umoja na ushirikiano ndio jambo kubwa

3) kocha bado hajawajua wachezaji vizuri hivyo kuna umuhimu wa meneja wa timu na mkurugenzi wa benchi la ufundi wasaidiane nae katika kipindi hiki ambacho unatakiwa kushinda mechi upate point 3.

Kwenye ligi bado nafasi ipo kwavile kama kiporo Yanga ikishinda itakuwa ni tofauti ya point 3 tu dhidi ya anayeongoza ligi. Kwenye klabu bingwa pia matokeo ya Tp Mazembe na MC Alger yameipa unafuu Yanga hivyo inabidi iende kupambania point 3 ugenini kitu ambayo kinawezekana ukizingatia kuna mechi nyingi tu Yanga kashinda akiwa away. Kazi kubwa kurudisha umoja, ushirikiano na mentality ya wachezaji ikae sawa pia na fitness ya wachezaji.
 
Kimsingi kuna makosa yametokea katika kumtimua Gamondi na kum replace mtu ambaye hana uzoefu wa mashindano ya CAF muda mfupi kuelekea kuanza kwa mashindano.

Mechi ya juzi ya Yanga dhidi ya Al Hilal wapo waliona kuwa pengine angekuwa Gamondi mechi ingekuwa nyepesi lakini sidhani kama ingekuwa nyepesi kihivyo kama watu wanavyofikiria.

Yanga imepata tabu kumaliza mechi dhidi ya Kagera, Ken Gold, KMC, n.k isingekuwa rahisi kuifunga timu yenye professional wengi na kocha mwenye uzoefu Ibenge kirahisi hata kidogo. Tatizo la Yanga msimu huu upo katika kubadilisha nafasi kuwa magoli. Gamondi na Saed wote wanakutana na hali hiyo hiyo. Mechi dhidi ya Al Hilal, Yanga ndio wameongoza kupoteza ckear chance kuliko Al Hilal na ndio waliyoongoza katika kutengeneza nafasi za magoli. Azizi Ki kawa butu, Dube ndio kabisa,

Sina lawama na huyu kocha mpya kwasababu kuna kitu positive nimekiona kutoka kwake lakini lazima itachukua muda katika hili na mashabiki tunataka mafanikio ya haraka kwa kutetea makombe na kutinga robo fainali ya CAFCL.
Kwasasa kuna mambo kadhaa ya kufanya ili kurudisha mambo kuwa sawa.

1) Daktari wa saikolojia anatakiwa kufanya kazi kubwa sana kuwarudisha wachezaji katika hali ya kawaida. Wachezaji wengi wamevurugika kiakili na kutoka mchezoni. Diarra ni mmoja wapo na wengine wengi tu.

2) kuna umuhimu wa kuondoa mipasuko iliyopo ndani ya timu au ndani ya uongozi. Jengeni umoja na ushirikiano ndio jambo kubwa

3) kocha bado hajawajua wachezaji vizuri hivyo kuna umuhimu wa meneja wa timu na mkurugenzi wa benchi la ufundi wasaidiane nae katika kipindi hiki ambacho unatakiwa kushinda mechi upate point 3.

Kwenye ligi bado nafasi ipo kwavile kama kiporo Yanga ikishinda itakuwa ni tofauti ya point 3 tu dhidi ya anayeongoza ligi. Kwenye klabu bingwa pia matokeo ya Tp Mazembe na MC Alger yameipa unafuu Yanga hivyo inabidi iende kupambania point 3 ugenini kitu ambayo kinawezekana ukizingatia kuna mechi nyingi tu Yanga kashinda akiwa away. Kazi kubwa kurudisha umoja, ushirikiano na mentality ya wachezaji ikae sawa pia na fitness ya wachezaji.
Mkurugenzi wa ufundi yanga sio mgeni pia mkuu?
 
Mkipoteza mechi ijayo tutarudi kuangalia huu ushauri wako kama unafaa
 
Ni mgeni na mashindano ya klabu bingwa ila sio mgeni na wachezaji waliopo Yanga
Kumbe yeye katika watu ambao wamekuja wapya yeye hayumo maana mimi kuna mtu nilimskia akisema mkurugenzi wa ufundi pia wameleta mpya
 
Kumbe yeye katika watu ambao wamekuja wapya yeye hayumo maana mimi kuna mtu nilimskia akisema mkurugenzi wa ufundi pia wameleta mpya
Mkurugenzi wa ufundi ni yule aliyekuwa kocha wa KMC
 
kutumia striker mmoja kunaigharimu mno Yanga.

Yanga inahitani kutumia strikers wawili mwanzo mwisho ,kutumia viungo wengi ili kutawala mchezo ni kujidanganya ,Haina faida unaongoza Kwa ball possession lakini timu inafungwa.

Prince Dube ameshajaribiwa vya kutosha ameshaonyesha hawezi kuisaidia Yanga ,Uongozi utafute Striker no 9 mkali kama Mayele au zaidi ya uwezo aliokuwa nao Mayele.

Kwa nafasi Yanga wanazotengeneza kinachokosekana na washambuliaji wazuri wa kumalizia.

Katika safu ya ulinzi Dickson Job na Bacca wanafanya vizuri wakisaidiwa na wanapokuwepo viungo wakabaji Aucho au Mkude.

Kocha asiogope kuanzisha washambuliaji wawili kwa mpigo Kennedy Musonda akiwemo,Musonda ana nguvu ,ana spidi anajua kurudi kujilinda ,anatumia kichwa ikibidi anatakiwa apewe muda mrefu kuliko kumpa muda mrefu Dube mlegevu,Dube ndie anayestahili sasa kupewa dakika 20 za mwisho ni mara 100 kumuanzisha Mzize na Musonda au Musonda na Baleke kuliko Dube.

Pia mpango wa kumfanya Aziz K ,Messi wa Yanga umekwama kwa kipindi hiki.Azizi k asimamiwe nidhamu Uongozi umefanya makosa makubwa sana kumruhusu Aziz K kuanza kulalana na masley Queen akina Mobeto mpira na anasa za wanawake ni sumu kwa mchezaji yeyote.

Kocha sio lazima kutumia viungo mastaa wengi ili kutawala mchezo timu pinzani kinachofanya wanapaki bus wanakuacha mcheze mchezo wenu wa kupasiana wanakula timing ya kupokonya mpira na kumkimbilia Diara atalaumiwa Bure Diara.

weka kiungo mkabaki weka viungo washambuliaji peleka.mpira mbele ama kwa Musonda au Mzize au Baleke au huyo mshambuliaji mpya atakayeoatikana ,kitendo cha viungo kukaa na.mpira muda mrefu kunasababisha washambuliaji wapewe ulinzi wa kutosha hata wakipata mpira wanakuwa tayari wamezingirwa na beki ama kipa anakuwa tayari ameshasoma move.
 
kutumia striker mmoja kunaigharimu mno Yanga.

Yanga inahitani kutumia strikers wawili mwanzo mwisho ,kutumia viungo wengi ili kutawala mchezo ni kujidanganya ,Haina faida unaongoza Kwa ball possession lakini timu inafungwa.

Prince Dube ameshajaribiwa vya kutosha ameshaonyesha hawezi kuisaidia Yanga ,Uongozi utafute Striker no 9 mkali kama Mayele au zaidi ya uwezo aliokuwa nao Mayele.

Kwa nafasi Yanga wanazotengeneza kinachokosekana na washambuliaji wazuri wa kumalizia.

Katika safu ya ulinzi Dickson Job na Bacca wanafanya vizuri wakisaidiwa na wanapokuwepo viungo wakabaji Aucho au Mkude.

Kocha asiogope kuanzisha washambuliaji wawili kwa mpigo Kennedy Musonda akiwemo,Musonda ana nguvu ,ana spidi anajua kurudi kujilinda ,anatumia kichwa ikibidi anatakiwa apewe muda mrefu kuliko kumpa muda mrefu Dube mlegevu,Dube ndie anayestahili sasa kupewa dakika 20 za mwisho ni mara 100 kumuanzisha Mzize na Musonda au Musonda na Baleke kuliko Dube.

Mechi ya Juzi kocha alifanya kama ulichoshauri alipunguza viungo akaongeza mshambuliaji na kucheza na washambuliaji wawili. Ilikuwa ni nzuri kimbinu ila washambuliaji wenyewe sasa migarasa mitupu. Musonda kakosa goli kagongesha mwamba. Ile mechi ya Al Hilal Yanga ingekuwa ina washambuliaji wa maana tusingekuwa tunalalama hapa kulaumu laumu kuondolewa kwa Gamondi. Gamondi mwenyewe naye kakutana na tatizo hilo hilo tokea msimu umeanza la ubutu wa safu ya umaliziaji
 
Mechi ya Juzi kocha alifanya kama ulichoshauri alipunguza viungo akaongeza mshambuliaji na kucheza na washambuliaji wawili. Ilikuwa ni nzuri kimbinu ila washambuliaji wenyewe sasa migarasa mitupu. Musonda kakosa goli kagongesha mwamba. Ile mechi ya Al Hilal Yanga ingekuwa ina washambuliaji wa maana tusingekuwa tunalalama hapa kulaumu laumu kuondolewa kwa Gamondi. Gamondi mwenyewe naye kakutana na tatizo hilo hilo tokea msimu umeanza la ubutu wa safu ya umaliziaji
Kuna ulazima uongozi kuingia sokoni kusaka mshambuliaji wa maana,tuliwasema Simba watafute mshambuliaji Mukwala sio best striker haraka Simba wamleta Ateba ,Yanga inakwama wapi?
 
Kuna ulazima uongozi kuingia sokoni kusaka mshambuliaji wa maana,tuliwasema Simba watafute mshambuliaji Mukwala sio best striker haraka Simba wamleta Ateba ,Yanga inakwama wapi?
Kwenye mazoezi anaonekana yule mchezaji wa Uganda sijui naye ndio wale wale au ndio atakuwa mkombozi. Guede sijui aliwakosea nini hadi kumuacha akiwa na takwimu nzuri tu
 
kutumia striker mmoja kunaigharimu mno Yanga.

Yanga inahitani kutumia strikers wawili mwanzo mwisho ,kutumia viungo wengi ili kutawala mchezo ni kujidanganya ,Haina faida unaongoza Kwa ball possession lakini timu inafungwa.

Prince Dube ameshajaribiwa vya kutosha ameshaonyesha hawezi kuisaidia Yanga ,Uongozi utafute Striker no 9 mkali kama Mayele au zaidi ya uwezo aliokuwa nao Mayele.

Kwa nafasi Yanga wanazotengeneza kinachokosekana na washambuliaji wazuri wa kumalizia.

Katika safu ya ulinzi Dickson Job na Bacca wanafanya vizuri wakisaidiwa na wanapokuwepo viungo wakabaji Aucho au Mkude.

Kocha asiogope kuanzisha washambuliaji wawili kwa mpigo Kennedy Musonda akiwemo,Musonda ana nguvu ,ana spidi anajua kurudi kujilinda ,anatumia kichwa ikibidi anatakiwa apewe muda mrefu kuliko kumpa muda mrefu Dube mlegevu,Dube ndie anayestahili sasa kupewa dakika 20 za mwisho ni mara 100 kumuanzisha Mzize na Musonda au Musonda na Baleke kuliko Dube.

Pia mpango wa kumfanya Aziz K ,Messi wa Yanga umekwama kwa kipindi hiki.Azizi k asimamiwe nidhamu Uongozi umefanya makosa makubwa sana kumruhusu Aziz K kuanza kulalana na masley Queen akina Mobeto mpira na anasa za wanawake ni sumu kwa mchezaji yeyote.

Kocha sio lazima kutumia viungo mastaa wengi ili kutawala mchezo timu pinzani kinachofanya wanapaki bus wanakuacha mcheze mchezo wenu wa kupasiana wanakula timing ya kupokonya mpira na kumkimbilia Diara atalaumiwa Bure Diara.

weka kiungo mkabaki weka viungo washambuliaji peleka.mpira mbele ama kwa Musonda au Mzize au Baleke au huyo mshambuliaji mpya atakayeoatikana ,kitendo cha viungo kukaa na.mpira muda mrefu kunasababisha washambuliaji wapewe ulinzi wa kutosha hata wakipata mpira wanakuwa tayari wamezingirwa na beki ama kipa anakuwa tayari ameshasoma move.
Hili la kumng'ang'ania Dube linakera sana
Yaani mchezaji amepewa nafasi ya kutosha ila haonyeshi athari yoyote lakini bado tu
Kwa nini wasimpe nafasi Baleke au hata yule bwana mdogo shekhan
Timu imekua ya kipumbavu sana
Mkude yupo ambae ni kiungo mkabaji mzuri tu
Unamuweka nje badala yake unalazimisha mudathir ake kukaba badala ya kushambulia, ujinga mwingine
Hv ile juzi namba saba na 11 walikua nani na nani ?
 
Back
Top Bottom