mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Kutokana na hali ngumu ya fedha ktk Klabu ya Yanga, nashauri uongozi Usajili wachezaji wenye mapenzi na Yanga na sio mishahara. Wachezaji hao wapo na suala la uongozi kutangaza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app