mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Ni kweli usemayo lakini kwa kuwa Yanga haina pesa na kuitwa timu kubwa sio sahihi timu kubwa ni pamoja na uwezo kipesa.Pia Yanga inaendeshwa kizamani enzi za kina Mangara Tabu wachezaji walikuwa hawalipwi mishahara ni mapenzi tu hivyo iendelee kutafuta wachezaji wenye mapenzi na YangaSasa bila mishahara wataishije.... Kwan wachezaji wanapenda kucheza timu kubwa kwa sababu gan...?
Ni kweli usemayo lakini kwa kuwa Yanga haina pesa na kuitwa timu kubwa sio sahihi timu kubwa ni pamoja na uwezo kipesa.Pia Yanga inaendeshwa kizamani kama enzi za Mwenyekiti Marehemu Mangara Tabu wachezaji walikuwa hawalipwi mishahara walikuwa wanacheza Yanga kwa mapenzi tu hivyo iendelee kutafuta wachezaji wenye mapenzi na Yanga wao kwao ni sifa kuichezea Yanga.Sasa bila mishahara wataishije.... Kwan wachezaji wanapenda kucheza timu kubwa kwa sababu gan...?
Simba haijawahi kutembea bakuli ,Yanga bakuli nimefika Tandale,kigogo wananchi wenyewe mnaowachangisha mafuriko yanawasumbua bora Serikali imewazuia kujenga pale Kaunda Swimming Poll pandikizeni Sangala mfanye biasharaSimba karibu miaka 5 mlikuwa masikini wa kutupwa! Hivi mmlikuwa hamsajili? Yanga haijafikia ile dhiki mliyokuwa nayo kipindi kile!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli usemayo lakini kwa kuwa Yanga haina pesa na kuitwa timu kubwa sio sahihi timu kubwa ni pamoja na uwezo kipesa.Pia Yanga inaendeshwa kizamani kama enzi za Mwenyekiti Marehemu Mangara Tabu wachezaji walikuwa hawalipwi mishahara walikuwa wanacheza Yanga kwa mapenzi tu hivyo iendelee kutafuta wachezaji wenye mapenzi na Yanga wao kwao ni sifa kuichezea Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app