Uongozi wa Yanga wampa Kocha mechi mbili

Uongozi wa Yanga wampa Kocha mechi mbili

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.

Nini maoni yako?
 
Wakati Simba inajipanga bibie Barbara anaondoa uswahili klabuni msimbazi wao ndio wanaendelea kuukaribisha uswahili.
Uswahii hauchezi mpira.
Kwa hizo mechi kocha lazima atatimuliwa na mbaya zaidi msimu huu tena hawatoambulia chochote.
Wimbo unabaki uleule kuwa team haina muunganiko.
 
Zahera alikaa msimu mmoja kidogo timu ikaanza kubadilika ,wakamtimua wakasajili kikosi mpya ,ikachukua mda wachezaji wapya kuzoea mfumo,mara gafla akaletwa Kaze naye akaja na kikosi chake na mfumo mpya,Mara wakamtimua wakamrudisha Mwambusi ,Mwambusi ameanza kuzoeleka mara pap Nadi kaingia,Sasa Nadi wanamtimua.

Kwa mtindo huu Yanga wasahau kuwa na timu bora
 
Boo! nsijue yanga wana maobejective yapi lakini boo! mwenyewe ni niliwaambia kama Makambo tia pale mbele kila kitu kitakuwa sawa toa Nchimbi weka Kaseka.
Uto sasa kocha anakosa gani
 
Zahera alikaa msimu mmoja kidogo timu ikaanza kubadilika ,wakamtimua wakasajili kikosi mpya ,ikachukua mda wachezaji wapya kuzoea mfumo,mara gafla akaletwa Kaze naye akaja na kikosi chake na mfumo mpya,Mara wakamtimua wakamrudisha Mwambusi ,Mwambusi ameanza kuzoeleka mara pap Nadi kaingia,Sasa Nadi wanamtimua.

Kwa mtindo huu Yanga wasahau kuwa na timu bora
Umemsahau Deejay Luc Emely aliitengeneza timu kiasi chake sema akawaita jina lile wakamtimua. Ndio mwanzo huo wanaanza kuvurugana. Tatizo kinacho wapa pressure ni ubora wa simba wasijue simba imesukwa kwa muda na inanunua wachezaji kweli sio wakuokota na mambo ya propaganda
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.

Nini maoni yako?
Typical Vyura SC & Mbumbumbu SC.

Mara nyingi kwenye hivi vilabu 2 tatizo linakuwa udhaifu katika uendeshaji wa klabu lakini utakuta makocha ndiyo wanaangushiwa jumba bovu masikini!
 
Back
Top Bottom