Pole sana ndugu, fanya iv... Tafuta mboga ya majani aina ya chinese au spinach wengine wanaitaga, chukua ile uioshe vema kwa maji ya barid ya bomba...Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, Tatizo langu ni kwamba uono wa macho yangu unazidi kupungua siku hadi siku na wakati mwingine kukiwa na jua ndo siwezi kabisa kutambua kwa ufasaha kitu kilichopo umbali wa mita 20. naombeni msaada wenu wana jukwaa iwe ni ushauri au tiba mbadala unakaribishwa.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app