Uonyeshwaji kadi za njano Yanga

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
makocha wa yanga wameshindwa kuwapa nidhamu kwa wachezaji wao.
kocha hao hawajui kabisa kuwapa nidhamu kwa maana hiyo sio makocha bora watimuliwepamoja na meneja hawafai
 
Hatuwatimui bado wanahitajika viongozi wetu.
 
mnaweweseka bado? uwkeli timu ilishindwa kabisa kucheza mpira jana, ni Said Juma pekee alicheza kwa kutulia wengine hawakucheza kiushindani kabisa.........halafu kadi ya Niyonzima ilikuwa ya kipumbavu sana na kuigharimu timu, hata Mrwanda alikua anatafuta Red makusudi kabisa......................Cannavaro naye alikua ni wa Red na hata Yondani ni kama alikua analazimisha kadi jana, sielewi mcheche wa wachezaji Yanga unatokana na nini.................
 
Makocha na viongozi wa yanga inawabidi wawatulize wachezaji kisaikolojia. Pili wawajenge kuwa na nidhamu waache kucheza rafu za kijinga kwani itawagharimu sana kwenye mashindano ya kimataifa hasa watakapokutana na refa makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…