Uovu unaendelea kwa sababu ya ukimya wa wenye haki

Uovu unaendelea kwa sababu ya ukimya wa wenye haki

NANGA WA DEPO

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
917
Reaction score
1,201
Mchungaji Dickson Kabigumila, amekemea kipindi cha Mr Right kinachorushwa na channel iliyoko kwenye king'amuzi cha startimes. Amesema katika kipindi hiko wanawaka kwa wanaume hutafuta wapenzi ambao amesema njia hiyo inaua maana ya ndoa kwa kuwa ni uchafu.

Mchungaji amesema kama TCRA wanahusika na kuzuia maudhui yasiyofaa wanapaswa kuzuia maudhui hayo ambayo yanaharibu vijana nchini.

Amesema kama uchafu kama huo hautazuiwa kipindi hiki utazuiwa mwaka 2025. Amesema Uovu huendelea kama wenye haki wakikaa kimya.

 
Pastor Dick--son sijui anasema nini.
Serikali ikiingilia media, hiyo itakuwa dick- tatorship.
 
Wale wadada kwenye nyimbo za singeli, doooh hatari aisee
 
Back
Top Bottom