<br />SUA mnatuaibisha mbona wanafunzi wenu vilaza hivo.Hoja gani hii analeta hapa huyu msomi hewa wenu.Nwy aliingia kwa ki-memo nini huyu,muwaambie bana wasijichanganye kwa pupa na weledi.
<br />SUA mnatuaibisha mbona wanafunzi wenu vilaza hivo.Hoja gani hii analeta hapa huyu msomi hewa wenu.Nwy aliingia kwa ki-memo nini huyu,muwaambie bana wasijichanganye kwa pupa na weledi.
<br />[Senetor]Sua nao wamezid upole,cjawah waskia hata cku 1 wameingia road.<br />
<br />
Usiwe short minded mkuu,ya SUA tunayajua sisi tulioko/tuliokuwa SUA bwana,tunajua tumeenda chuo kufanya nini suala la kuandamana bila logic sisi haipo au labda nyie kuandamana ni kozi ambayo ni compulsory kwa degree zenu zote na ipo katika prospectus?when things get worse tunajua namna ya kuipata FREEDOM SQUARE unaijua?uliza wanaoijua hata FFU hagusi mtu akiwa hapo,divide n rule system inatumika na ndo mana organization ya migomo inakuwa kazi as u know anayepata 100% mkopo hajui shida ya anayepata 20% au 40% utaanzaje kuwaunga? mawazo yasigande kwa kuwa uko mjini muwe na upeo wa kuona mbali,lini UDSM waligoma kwa ajili ya SUA,IFM,CBE,Mzumbe? "if u dont fight for your right no one else will"
<br />Hyo freedom square tupe na sisi wa secondary tuipate!...tuandamane kwa logic kudadadadecky!<br />
<br /><br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Mdau aliyeweka thread alilenga kuonyesha mapungufu yaliyopo kuhusu suala la afya kwa graduates wa SUA maybe hakuwa na details nyingi kama base ya thread yake ila anachosema kipo,uongozi wa chuo umelifumbia macho pia serikali ya wanafunzi (SUASO)<br />
<br />
Freedom Square ni ukumbi wa wazi ambapo migomo ya wana-SUA hufanyika uko Mazimbu Campus ambapo zamani ilikuwa training area ya wapiganaji wa uhuru wa chama cha ANC cha Afrika ya Kusini na kwa nature ya chuo kile hadi watu waache mambo yao yote wagome kweli kitu kinachogomewa kiwe na logic sio unalala unaamka unaanzisha mgomo kama hao wenzetu, tumeshafukuzwa miezi zaidi ya miwili,sisi hatufuati mkumbo,wengine boom lao likiisha wanaanza chokochoko za mgomo wapi na wapi bwana!nahisi hata katika prospectus zao kuna course ya CLASS BOYCOTTING na almanac yao ina siku ya mgomo
lete hiyo insurance policy nzima tuisome then tujadili