Uozo huu hauvumiliki SUA

SUA mnatuaibisha mbona wanafunzi wenu vilaza hivo.Hoja gani hii analeta hapa huyu msomi hewa wenu.Nwy aliingia kwa ki-memo nini huyu,muwaambie bana wasijichanganye kwa pupa na weledi.
<br />
<br />

mkuu u cant disgrace us all by the words of a single person,ni mawazo yake tu hayo hakuna anayeingia kwa ki-memo u dont have what it takes for you to survive there hata fomu ya kuomba kujiunga chuo hupewi, over n out
 
Haya mambo yanafanyika Tz?
Sasa kama ulikuwa unapewa 3000 kwa siku then iyo laki lazima upige miayo mwezi mzima kusave icho kiasi.
 
We bw*g* ulvokua unaandka hapa uliwaza kwa kutumia ubongo au utumbo wako mpana????bila shaka wewe ni 18+ age but -18 intelligence!lione
SUA mnatuaibisha mbona wanafunzi wenu vilaza hivo.Hoja gani hii analeta hapa huyu msomi hewa wenu.Nwy aliingia kwa ki-memo nini huyu,muwaambie bana wasijichanganye kwa pupa na weledi.
<br />
<br />
 
Hyo freedom square tupe na sisi wa secondary tuipate!...tuandamane kwa logic kudadadadecky!
<br />
<br />
 
Hyo freedom square tupe na sisi wa secondary tuipate!...tuandamane kwa logic kudadadadecky!<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />

Mdau aliyeweka thread alilenga kuonyesha mapungufu yaliyopo kuhusu suala la afya kwa graduates wa SUA maybe hakuwa na details nyingi kama base ya thread yake ila anachosema kipo,uongozi wa chuo umelifumbia macho pia serikali ya wanafunzi (SUASO)

Freedom Square ni ukumbi wa wazi ambapo migomo ya wana-SUA hufanyika uko Mazimbu Campus ambapo zamani ilikuwa training area ya wapiganaji wa uhuru wa chama cha ANC cha Afrika ya Kusini na kwa nature ya chuo kile hadi watu waache mambo yao yote wagome kweli kitu kinachogomewa kiwe na logic sio unalala unaamka unaanzisha mgomo kama hao wenzetu, tumeshafukuzwa miezi zaidi ya miwili,sisi hatufuati mkumbo,wengine boom lao likiisha wanaanza chokochoko za mgomo wapi na wapi bwana!nahisi hata katika prospectus zao kuna course ya CLASS BOYCOTTING na almanac yao ina siku ya mgomo
 
Angalia wacje wakaandamana na humu JF!
<br />
<br />
 
Divide n rule policy ndo inatumiwa sasa katika taasis,vyuo na vyuo vikuu kupitia hizo % za bodi ya mikopo za sasa, hakuna unity katika kudai haki ila unafiki wewe unainitiate mgomo wengine wanawataja majina kwamba ndo wachochezi
 
Jambo la msingi ni hiyo huduma kuboreshwa,lakini kama mtu hajachangia kwanini atake kutibiwa kama si kukosa ukomavu. Hiyo sera ni nzuri sana kwa watoto wa wakulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…