KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Morning wakuu!Naomba niende kwenye mada yangu moja kwa moja.
Siku ya jumatatu tarehe 30/11/2020 niliishiwa muda wa maongezi na nikaamua kujiunga kifurushi cha TSH 2,500/ ambapo nilipewa dk50 kwenda mitandao mwingne na dk180 voda kwenye voda tu.
Maana yake nilikuwa na jumla ya dk230,cha kushangaza imefika tarehe 3/12/2020 napiga simu naambiwa sina salio (nilijiunga kifurushi cha wiki).Mara nyingi nikiongea sana kwenye simu natumia dk5 tu tena mara mojamoja.Nimeenda vodashop wanajikanyaga tu,Nafuta wakili mbobezi niishitaki hii kampuni kwa kuniibia mchana kweupe naomba kama kuna wakili anaweza kuhandle hii kesi aniPM (nina ushihidi wote).
Najiuliza sana maswali yafuatayo;
TCRA hawaoni huu wizi?maana naamini wanaibia wengi.
TAKUKURU hawaoni huu wizi?
VODACOM wana tofauti gani na wahujumu uchumi?
Siku ya jumatatu tarehe 30/11/2020 niliishiwa muda wa maongezi na nikaamua kujiunga kifurushi cha TSH 2,500/ ambapo nilipewa dk50 kwenda mitandao mwingne na dk180 voda kwenye voda tu.
Maana yake nilikuwa na jumla ya dk230,cha kushangaza imefika tarehe 3/12/2020 napiga simu naambiwa sina salio (nilijiunga kifurushi cha wiki).Mara nyingi nikiongea sana kwenye simu natumia dk5 tu tena mara mojamoja.Nimeenda vodashop wanajikanyaga tu,Nafuta wakili mbobezi niishitaki hii kampuni kwa kuniibia mchana kweupe naomba kama kuna wakili anaweza kuhandle hii kesi aniPM (nina ushihidi wote).
Najiuliza sana maswali yafuatayo;
TCRA hawaoni huu wizi?maana naamini wanaibia wengi.
TAKUKURU hawaoni huu wizi?
VODACOM wana tofauti gani na wahujumu uchumi?