Upande wa pili vipi

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Baaada ya uchaguzi wa serikali za mitaa , nimesikia viongozi toka taasisi za kidini hususa Wakikemea mchezo mchafu uliochezwa na CCM. Sijawahi kusikia kiongozi wa dini ya kiislam akikemea rafu zilizofanya na CCM kwenye uchaguzi. Kama yupo naomba nijuzwe
 
Hakuna mvaa kobazi mwenye ujasiri wa kukemea uovu
 
Wanachoweza kukemea ni kama mpelestina akiuliwa
 
Sio kwamba Ubwabwa wa Ikulu umeambatana na Ndizi mbivu na Juisi Baridi?.
 
Njaa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…