Upande wa pili wa Matumizi ya Meter Box

Upande wa pili wa Matumizi ya Meter Box

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Habari wakuu leo katika utundu wangu nimegundua kwamba meter box ina matumizi mengi sana zaidi ya kutumika katika ulipaji wa umeme.
Naam, Nitawadokeza jinsi ya kutumia meter box kuangalia vitu vingine
Moja ya matumizi ya Meter ni kuangalia tarehe na saa/Mda
Nisiwachoshe ni kama ifuatavyo

Jinsi ya kuangalia tarehe
•Bonyeza Namba "0" kisha namba "7" kwenye meter yako maliza kwa kubonyeza alama ya kuingia (Enter Button) ya langi ya Blue
Hapo tarehe zitatokea

Kielelezo picha:
IMG_20210628_183018_9~2.jpg

Jinsi ya kuangalia Saa
•Bonyeza namba "0" kisha namba "8" maliza kwa kubonyeza alama ya blue
Saa itaonekana

Kielelezo picha:
IMG_20210628_183027_2~2.jpg

Hayo ni baadhi ya matumizi ya Meter box

Cc TANESCO
 
"...moja ya matumizi ni kuangalia siku na muda" well, nikasema ngoja nikae vizuri kusoma hayo matumizi mengi mengineyo!!! Ihiii! Bagosha
 
"...moja ya matumizi ni kuangalia siku na muda" well, nikasema ngoja nikae vizuri kusoma hayo matumizi mengi mengineyo!!! Ihiii! Bagosha
Sawa nkoi welelwa ila
 
Mwangaluka nkoi!
Kijana, hicho kidude hakiitwi Meter Box bali Customer Interface Unit (CIU); Kule uswazi tunaita "remote ya mita"
Pamoja na kuingiza umeme (LUKU token numbers), pia kina shortcodes lukuki ambazo sisi wateja tumefundishwa kuzitumia kama tukihitaji.
Meter Shortcodes zipo nyingi:
mf - 001 Enter, 002 Enter, 003 Enter, 004 Enter, 005...... n.k.
Kupitia shortcodes hizi, unaweza kufahamu yafuatayo:

Tarehe ya siku hiyo,
Muda,
Meter serial number,
Available meter credit - kWH,
Power,
Voltage,
Tariff index,
Last recharge amount,
Last recharge date,
..................... n.k.
 
Mwangaluka nkoi!
Kijana, hicho kidude hakiitwi Meter Box bali Customer Interface Unit (CIU); Kule uswazi tunaita "remote ya mita"
Pamoja na kuingiza umeme (LUKU token numbers), pia kina shortcodes lukuki ambazo sisi wateja tumefundishwa kuzitumia kama tukihitaji.
Meter Shortcodes zipo nyingi:
mf - 001 Enter, 002 Enter, 003 Enter, 004 Enter, 005...... n.k.
Kupitia shortcodes hizi, unaweza kufahamu yafuatayo:

Tarehe ya siku hiyo,
Muda,
Meter serial number,
Available meter credit - kWH,
Power,
Voltage,
Tariff index,
Last recharge amount,
Last recharge date,
..................... n.k.
Asante mkuu kwa kushare idea labda kwa niaba ya wote ungeweka hizo Nondo jinsi ya kutumia
 
Kwa niaba ya wengine inatakiwa TANESCO watupe somo zaidi kuhusu hii kitu
 
Asante mkuu kwa kushare idea labda kwa niaba ya wote ungeweka hizo Nondo jinsi ya kutumia
Nimeweka shortcodes hapo juu.
Mf: Bonyeza 001 kisha piga OK, bonyeza 002 kisha piga OK, ......
mfano: kwa wanaotumia meter aina ya INHEMETER, ukibonyeza 003 OK, unaweza kuona salio la units zako za umeme; Ukibonyeza 004 OK, unaweza kuona umeme unaotumia kwa wakati huo, uko katika Voltage level kiasi gani; 005 OK, kiasi cha mkondo wa umeme (Ampere), n.k.
 
Nyongeza ya matumizi ya Customer Interface Unit



Ukibonyeza

•10 kisha enter - Inaleta tarehe ya mwisho ya kuingiza Luku

•50 kisha enter - inaleta Unit ulizo ingiza siku ya mwisho

•90 kisha enter - inaleta Unit zilizokuwepo Kabula ya kununua tena



Nitaendelea kuwajuza
 
Nimeweka shortcodes hapo juu.
Mf: Bonyeza 001 kisha piga OK, bonyeza 002 kisha piga OK, ......
mfano: kwa wanaotumia meter aina ya INHEMETER, ukibonyeza 003 OK, unaweza kuona salio la units zako za umeme; Ukibonyeza 004 OK, unaweza kuona umeme unaotumia kwa wakati huo, uko katika Voltage level kiasi gani; 005 OK, kiasi cha mkondo wa umeme (Ampere), n.k.
Shukurani mkuu uzi huu utasaidia kujua mengi naona kuna baadhi ya shortcut nimeanza kuzielewa
 
Nyongeza ya matumizi ya Customer Interface Unit



Ukibonyeza

•10 kisha enter - Inaleta tarehe ya mwisho ya kuingiza Luku

•50 kisha enter - inaleta Unit ulizo ingiza siku ya mwisho

•90 kisha enter - inaleta Unit zilizokuwepo Kabula ya kununua tena



Nitaendelea kuwajuza
Poa!
 
haha ndicho ulichojifunza pindi ulipokua na likizo ya ban

sio mbaya, ila weka kwamba ni kwa meter za INHEMETER,

maana itatofautiana na WASION , EDMI , etc
 
haha ndicho ulichojifunza pindi ulipokua na likizo ya ban

sio mbaya, ila weka kwamba ni kwa meter za INHEMETER,

maana itatofautiana na WASION , EDMI , etc
🤣🤣🤣Nilipo kua likizo ya lazima ndio nilijifunza hicho
 
Back
Top Bottom