Upandikizaji wa uume (Penile implant)

Upandikizaji wa uume (Penile implant)

kwe2tu

Senior Member
Joined
Dec 30, 2023
Posts
128
Reaction score
210
Nimesikia kuwa suruhisho kuu kwa upungufu wa nguvu za kiume ni hii huduma ya kuwekewa visaidizi ktk uume. Kuliko kunywa madawa na kubugia vumbi kila siku.

Na wanasema pia asilimia za kulizika kati ya mke na mme ni 90-98% lkn pia kifaa hocho kina kaa miaka kati ya 10-15.

Lkn pia unaweza kufanya sex muda wowote unaotaka na unaweza kumwaga ukaendele kwa sababu uume unauamlia wew sasa usimame sasa ulale.

Na pia wanasema zipo aina tatu za visaidizi hivi.
One piece
Two pieces
Three pieces

Kwa tanzania nasikia kuna hiyo ya one piece na gharama zake ni 7,000,000 kwa tanzania.

Maswali ysngu ni haya:
1. Kwanini gharama ni kubwa hivi?

2. Uhakika wa mafanikio ukoje?

3. Waliofanyiwa upandikizaji huwa au marafiki zao wanasemaje juu ya ufanisi na urahisi?

4. Kwa bei hiyo watanzania maskini watapata hiyo huduma kweli??

Nb naamini humu kuna madaktari wa hospital husika au wanauzoefu huo watatupa mrejesho vizuri maana tatizo limekuwa kubwa naamini tunakoelekea sasa ni watu kutumia vipandikizi ambavyo unasex kwa muda unaoutaka wewe.

Ukiona Huna cha kuchangia vema ukasoma tu ukapita

Naomba kuwasilisha.
 
Inamaana mtu unawekewa kidudu kipya cha Plastic au?
ni kidude unawekewa ndani ya mfumo wa uzazi, unabonyeza pump, resevoir inajaza fluid kwenye cylinder(s) inasimama
titan-implant_penile-implants_cpmh.jpg
 
Nimesikia kuwa suruhisho kuu kwa upungufu wa nguvu za kiume ni hii huduma ya kuwekewa visaidizi ktk uume. Kuliko kunywa madawa na kubugia vumbi kila siku.
Na wanasema pia asilimia za kulizika kati ya mke na mme ni 90-98% lkn pia kifaa hocho kina kaa miaka kati ya 10-15.
Lkn pia unaweza kufanya sex muda wowote unaotaka na unaweza kumwaga ukaendele kwa sababu uume unauamlia wew sasa usimame sasa ulale.

Na pia wanasema zipo aina tatu za visaidizi hivi.
One piece
Two pieces
Three pieces

Kwa tanzania nasikia kuna hiyo ya one piece na gharama zake ni 7,000,000 kwa tanzania.

Maswali ysngu ni haya
1. Kwanini gharama ni kubwa hivi??

2. Uhakika wa mafanikio ukoje?

3. Waliofanyiwa upandikizaji huwa au marafiki zao wanasemaje juu ya ufanisi na urahisi?

4. Kwa bei hiyo watanzania maskini watapata hiyo huduma kweli??

Nb naamini humu kuna madaktari wa hospital husika au wanauzoefu huo watatupa mrejesho vizuri maana tatizo limekuwa kubwa naamini tunakoelekea sasa ni watu kutumia vipandikizi ambavyo unasex kwa muda unaoutaka wewe.
Ukiona Huna cha kuchangia vema ukasoma tu ukapita

Naomba kuwasilisha.
Hapo Cha Kwamba uume unauamria wewe usimame au ulale sijaelewa vizuri. Unauamuru kupitia nini Sasa? Sauti au hisia?
 
Hawa viumbe wao wenyewe hawajui wakitakacho.

Unaweza toa pesa yako ya ngama ukuze mshedede halafu my waifu wako anaenda kupigwa nao na mwamba mwenye kibamia.

Halafu kuna viungo sio vya kuchezea. Bora ya kibamia kinachodinda kuliko gobole lisilo na kazi.
 
Nimesikia kuwa suruhisho kuu kwa upungufu wa nguvu za kiume ni hii huduma ya kuwekewa visaidizi ktk uume. Kuliko kunywa madawa na kubugia vumbi kila siku.
Na wanasema pia asilimia za kulizika kati ya mke na mme ni 90-98% lkn pia kifaa hocho kina kaa miaka kati ya 10-15.
Lkn pia unaweza kufanya sex muda wowote unaotaka na unaweza kumwaga ukaendele kwa sababu uume unauamlia wew sasa usimame sasa ulale.

Na pia wanasema zipo aina tatu za visaidizi hivi.
One piece
Two pieces
Three pieces

Kwa tanzania nasikia kuna hiyo ya one piece na gharama zake ni 7,000,000 kwa tanzania.

Maswali ysngu ni haya
1. Kwanini gharama ni kubwa hivi??

2. Uhakika wa mafanikio ukoje?

3. Waliofanyiwa upandikizaji huwa au marafiki zao wanasemaje juu ya ufanisi na urahisi?

4. Kwa bei hiyo watanzania maskini watapata hiyo huduma kweli??

Nb naamini humu kuna madaktari wa hospital husika au wanauzoefu huo watatupa mrejesho vizuri maana tatizo limekuwa kubwa naamini tunakoelekea sasa ni watu kutumia vipandikizi ambavyo unasex kwa muda unaoutaka wewe.
Ukiona Huna cha kuchangia vema ukasoma tu ukapita

Naomba kuwasilisha.
Masikini huwa hawana hilo tatizo kutokana na kazi ngumu wazifanyazo na ugali mboga siyo chips yai.
 
Hapo Cha Kwamba uume unauamria wewe usimame au ulale sijaelewa vizuri. Unauamuru kupitia nini Sasa? Sauti au hisia?
Kuna kijipampu kinawekwa kwenye korodani ukitaka kufanya ngono unakipampu uume unasimama dede ukichoka kufanya una minya pampu inasinyaa
 
Back
Top Bottom