upandishwaji wa mishahara kwa watumishi walio na kiwango cha degree moja!

Hivi hiyo 1m unaongelea gross au net??Kama ni gross,basi kazi ipo.....!!!!
 
Ni kweli tumepandisha mishara mpaka 1m,pia na kodi imeongezeka hivo katika 1m tutakata laki 6.
 
Ni kitu ambacho hakiwezekani kwa serikali hicho ni kiwango kikubwa mmno kumlipa. kama wakifanya hivyo itakua vizuri itasababisha watu wengi wasiache kazi serikalini na watafanya kazi kwa uhaminifu pia rushwa ndogo ndogo zitakwisha huduma kwa wateja maofisini zitaboreshwa kwa kiasi kikubwa.
 

daaaah kama hali ndo ilivyo bora kufungua kanisa
 
ila maisha kupanda yamepanda kwa watu wote; inakuwaje tena makamishna na wakuu wengine wenye mishahara mizuri wazidi kuboreshewa wao tu na kuwwasahau watz watumishi wa kada za kawaida? nadhani ndo walistahili kuanziwa ktk kupandisha mishahara huku
 

Kwa hiyo unataka kusema nini? Kwa sisi walimu hata mianya ya kuiba hatuna tukisomesha wadogo zetu na kujenga ni mafreemason au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…