sawa kocha!Na uhakika Pogba akiendelea kupangwa kama anavyopangwa Man u itaendelea kupoteza na pia Pogba ataonekana si chochote
Pogba anapaswa acheze No 8 huku akiachwa free kuzunguka uwanja kwa uhuru kama anavyofanya De Brune
Lakin anavyopangwa kucheza 6 hawez kuonekana maana kiasili yule sio kiungo mkabaji halisi
Pale anapaswa apewe no 6 anayejua kisha akae 8 na awe free kuzunguka
Makocha wengi huua vipaji kwa sababu ya kulazimisha kuchezesha watu nafasi zisizo zao
Tusubir kifo cha Pogba ama kufukuzwa kwa Mourinho kama hatamsogeza Pogba mbele kdg na nyuma yake amweke Carrick ama Schen
Felain anapangwa 8 na Pogba 6 but kiuhalisia Pogba ni 8 na 6 ni Carrick/SchnKwan felain anacheza namba ngapi na pogba anacheza namba ngapi
Sijui ila Mimi ninavyoona ni kuwa felain anacheza mbele ya ukuta Wa Bailly na Smalling yaani ni holding midfielder .... Ila pogba anacheza nyuma ya rooney na IBRA ....Felain anapangwa 8 na Pogba 6 but kiuhalisia Pogba ni 8 na 6 ni Carrick/Schn
Pogba ndo anachezeshwa mbele ya mabeki na hilo ni kosa na hata angepangwa felain hapo sio no yake wote wawili ni no 8! Ile ni nafasi ya carick au schnedlin wenu yule au mtafute no 6 original ili Pogba apewe nafasi ya kucheza kwa uhuruSijui ila Mimi ninavyoona ni kuwa felain anacheza mbele ya ukuta Wa Bailly na Smalling yaani ni holding midfielder .... Ila pogba anacheza nyuma ya rooney na IBRA ....
All in all game approach ndio inamuharibia mourinho
ww umejuaje; kama POGBA ndio anataka kucheza hiyo nafasi? kikubwa MANYURE hamna team work; maaana naona unadhanian Pogba ndio kila kitu;Na uhakika Pogba akiendelea kupangwa kama anavyopangwa Man u itaendelea kupoteza na pia Pogba ataonekana si chochote
Pogba anapaswa acheze No 8 huku akiachwa free kuzunguka uwanja kwa uhuru kama anavyofanya De Brune
Lakin anavyopangwa kucheza 6 hawez kuonekana maana kiasili yule sio kiungo mkabaji halisi
Pale anapaswa apewe no 6 anayejua kisha akae 8 na awe free kuzunguka
Makocha wengi huua vipaji kwa sababu ya kulazimisha kuchezesha watu nafasi zisizo zao
Tusubir kifo cha Pogba ama kufukuzwa kwa Mourinho kama hatamsogeza Pogba mbele kdg na nyuma yake amweke Carrick ama Schen
epuka uchochezi;Wabongo bhana mbona timu yenu ya taifa mmeshindwa kuisaidia kwenda hata AFCON
Leo mnajitia mnauwezo wa kupanga kikos cha man utd kuliko Mourinho
Sidhani kama upo sahihi! mechi ya juzi ya Europa huyu POGOBA hakucheza deep alikuwa mbele ya Ander hererra??? MKADAI HELA YENU JUVE, UTAPELI SIO MZURI!Felain anapangwa 8 na Pogba 6 but kiuhalisia Pogba ni 8 na 6 ni Carrick/Schn