Moriunho inabidi apate mtu wa kumfanyia kazi chafu na anaweza hili kwa kumbadilisha mensah aje acheze katikati na mtu mwingine kama carick au schneiderlin,
Pili man wapo slow sana eapecially kwenye kufanya mashambulizi
Mourinhho ni bomu linalosubiri kulipuka. Mpira wa Man U na yeye ni mbingu na dunia. Walikuwa desparate wakamchukua. Siamini kuna timu ataenda afanikiwe kwa falsafa ya yake ya mpira. Dunia inabidlika yeye yupo na mipango yake isiyokuwa flexible hata kidogo.