Upangaji wa mizunguko ya timu kucheza umulikwe na upangwe katika mtindo ambao utapumzisha wachezaji wetu

Upangaji wa mizunguko ya timu kucheza umulikwe na upangwe katika mtindo ambao utapumzisha wachezaji wetu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
FB_IMG_17310787838151436.jpg

"Timu yangu ina uchovu, tumecheza mech sita ndani va Siku ishirini"

"Kila kitu leo kilikwenda vibaya, tumepata jeraha dakika ya nane, Musonda amepoteza nafasi ya wazi, tumepoteza penati wao wamefunga, wame shambulia mara mbili wakafunga,sisi tumeshambulia ×20 hatukufunga, siwezi kupeleka lawama kwa wachezaji wangu lawama zote nabeba mimi”

Miguel Gamond - Kocha mkuu wa Yanga SC baada ya mchezo.
 
1.Ulaumiwe wewe, kwani wewe ndo ulikuwa inacheza?

2.Ulaumiwe wewe, kwani wewe ndo umepanga ratiba ya timu yako kucheza michezo 6 ndani ya siku 20,bila kupumzika vya kutosha?
 
Ratiba mbovu sana!, wachezaji ni binadamu siyo mashine.
 
Back
Top Bottom