Upanuzi wa Barabara ya Mwenge haukuwa na faida yoyote ile, foleni iko palepale

Upanuzi wa Barabara ya Mwenge haukuwa na faida yoyote ile, foleni iko palepale

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kiukweli, upanuzi wa barabara ya Mwenge haukua na maana yoyote ile foleni iko palepale.

Nashindwa kuelewa hii nchi yetu inaongozwa na watu wenye utimamu wa maamuzi.

Pale Mwenge kungejengwa roundabout labda ingesaidia kupunguza foleni lakini yale mataa ni bure kabisa

Gharama zilizotumika pale ni upotevu tu wa fedha.
 
Kiukweli, upanuzi wa barabara ya Mwenge haukua na maana yoyote ile foleni iko palepale.

Nashindwa kuelewa hii nchi yetu inaongozwa na watu wenye utimamu wa maamuzi.

Pale Mwenge kungejengwa roundabout labda ingesaidia kupunguza foleni lakini yale mataa ni bure kabisa

Gharama zilizotumika pale ni upotevu tu wa fedha.
Mara ya kwanza ilipanuliwa kwa fedha ya Sherehe za Uhuru (kama ni kweli) then ikaja ikapanuliwa kwa fedha za wafadhili.....ila CCM kama mtafika mbinguni Wallah naandamana
 
Kiukweli, upanuzi wa barabara ya Mwenge haukua na maana yoyote ile foleni iko palepale.

Nashindwa kuelewa hii nchi yetu inaongozwa na watu wenye utimamu wa maamuzi.

Pale Mwenge kungejengwa roundabout labda ingesaidia kupunguza foleni lakini yale mataa ni bure kabisa

Gharama zilizotumika pale ni upotevu tu wa fedha.
Faida yake tutaiona pale ambapo Junction zote kubwa watajenga flyovers
 
Mara ya kwanza ilipanuliwa kwa fedha ya Sherehe za Uhuru (kama ni kweli) then ikaja ikapanuliwa kwa fedha za wafadhili.....ila CCM kama mtafika mbinguni Wallah naandamana
Ccm ni majizi
 
Tatizo imeishia Mwenge tu, ilibidi ifike mpaka Tegeta...nadhani wanasubiri barabara ya mwendokasi.
 
Kiukweli, upanuzi wa barabara ya Mwenge haukua na maana yoyote ile foleni iko palepale.

Nashindwa kuelewa hii nchi yetu inaongozwa na watu wenye utimamu wa maamuzi.

Pale Mwenge kungejengwa roundabout labda ingesaidia kupunguza foleni lakini yale mataa ni bure kabisa

Gharama zilizotumika pale ni upotevu tu wa fedha.
Sasa hoja yako ni juu ya upana wa barabara au mataa
 
Back
Top Bottom