tembaisdor
Member
- Sep 19, 2011
- 29
- 8
Msaada:
Dada yangu ni mjamzito miezi tisa sasa, juzi kafanya utra sound wanasema mtoto amevingirisha kitovu shingoni kwa hiyo uwezekano wa kujifungua kawaida haupo ila kwa operation mapema bila hivyo mtoto atatoka amekufa.
Leo kaambiwa operation ifanyike kesho au Jumamosi hapo kwa Kairuki. Je, hii ni kawaida au ushauri tufanyaje?
Dada yeye mzito kuamua anaona ni afadhali ajifungue kawaida, wataalam tushaurini tafadhali.
Dada yangu ni mjamzito miezi tisa sasa, juzi kafanya utra sound wanasema mtoto amevingirisha kitovu shingoni kwa hiyo uwezekano wa kujifungua kawaida haupo ila kwa operation mapema bila hivyo mtoto atatoka amekufa.
Leo kaambiwa operation ifanyike kesho au Jumamosi hapo kwa Kairuki. Je, hii ni kawaida au ushauri tufanyaje?
Dada yeye mzito kuamua anaona ni afadhali ajifungue kawaida, wataalam tushaurini tafadhali.