Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,739
- 6,099
SawaIfike mahali wanaume wajiamini kuwa vyovyote walivyoumbwa wako perfect.
Wengine wanakazana na ku massage kwa mitishamba kwa sababu kuna kiumbe kamwambia yeye ni kibamia. Akipata madhara huyo mwanamke atakuwa wa kwanza kumcheka.
Nimeipenda point yako kuwa hakuna sababu ya kukosoa uumbaji wa Mungu. Kila mmoja alivyoumbwa ndivyo ilimpasa awe hivyo. Turidhike.