Upasuaji wa kwanza wa kuhamisha kichwa kufanyika

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Tutakuwa tunabadili vichwa na sura na mashoga wataweka sura za kike.
 
kwa hiyo maandalizi ya hiyo operesheni ndio yatachukua miaka mitatu!!
 
Pamoja na kuwa katika maendeleo ya sayansi mengi yaliyokuwa yanaonekana hayawezekani yamewezeka lakini kwa upasuaji huu na mashaka sana kama utafanikiwa!
 
Pamoja na kuwa katika maendeleo ya sayansi mengi yaliyokuwa yanaonekana hayawezekani yamewezeka lakini kwa upasuaji huu na mashaka sana kama utafanikiwa!

Kwa kifupi,huu ni uhamishaji wa kiwiliwili kwenda kuunganisha na kichwa kingine,ndio kuna madaktari kadhaa wana hofu na wengine wana imani itafanikiwa.
Haitojulikana mpaka 2017.
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku


niliwahi kufuatilia hii habari wanadai walifanya kwa panya ... lakini waliishi kwa dakika kadhaa! sikumbuki muda gani lakini hawakufikisha lisaa... ila walifanikiwa kiasi....

nilisoma kitambo unaweza fatilia online ...

ukienda youtube kuna hadi videos za huyu jamaa aliyejitolea ...
 
Kwa akili ya fasta nisiye daktari naona kuna kichinjwa kwanza (kwa namna yoyote ile) ndipo wakufanyie hiyo transplant!! Bora nife. Unapoteza identity kabisa
 
Kwa akili ya fasta nisiye daktari naona kuna kichinjwa kwanza (kwa namna yoyote ile) ndipo wakufanyie hiyo transplant!! Bora nife. Unapoteza identity kabisa

Identity haipotei,unabaki na kchwa chako.
 

Let us hope it becomes successful for the sake of humanity.
 
Well it will be a milestone if successful,time will tell
 
Sasa umri tutachukuwa upi.?? Wa kichwa au Kiwiliwili?
 
kwa hiyo nikiwekewa kichwa cha Messi naenda Barca kusakata kabumbu au nikiwekewa cha Nkurunzinza nag'ang'ania Bujumbula daadaadeki!!!

Hahahaha hapo sasa picha linaanza.
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku


waliishafanya mpaka kwa mbwa... baada ya kazi kuisha mbwa aliishi sikuchache tu akafa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…