dah! Nimekupata mkubwa, style yako ya kumwaga bibie sina mashaka nayo, hebu ngoja tuwasikilize wadau labda wanakipya cha kutufunza/kutujuza pia!Lazima mpige game la uhakika usiku kucha, kisha unahahakikisha unaacha mshiko wa ukeli then a short kiss when u r leaving
Firstlady teh! teh! Unaogopa kusalitiwa teh? huwa unamuaga kama afanyavyo Humpy hapo juu?Maswali mengine bwana kama tuko primary skuli ..dah ...kwa heri mke wangu mme wangu mpenzi wangu ,small house wangu ..mungu akijalia tutaonana .keep well teteteteh usinisaliti eeeh ,:happy:
Nimuage kwani naenda kufa??? akwende zake :music:
Lazima mpige game la uhakika usiku kucha, kisha unahahakikisha unaacha mshiko wa ukeli then a short kiss when u r leaving
wenye experience ktk hili tusaidiane... eti upatapo safari either ya kikazi, kifamilia au binafsi zinazokulazimu usafiri kwenda mbali au nje ya mkoa humuagaje mpenzi wako? vipi? Kwa stail gan? I mean ipi ni njia sahihi ya wapenzi kuagana tayari kwa safari? Je kuna universal style of saying goodbye to ur loved one tayiri kwa safari? coz mwengine hukiss, kukumbatiana,sala, kushikana mikono etc. Tujadili tukiwa huru!
hahahahaha! Kama kweli vile maria.Nimuage kwani naenda kufa??? akwende zake :music:
Lazima mpige game la uhakika usiku kucha, kisha unahahakikisha unaacha mshiko wa ukeli then a short kiss when u r leaving
Kw mimi mwenye wake wawili itakuaje thatha?Lazima mpige game la uhakika usiku kucha, kisha unahahakikisha unaacha mshiko wa ukeli then a short kiss when u r leaving