Upatapo safari, umuacha/unamwaga vp mpenz/mke/mume wako?

Bye sweet.I ll call as soon as I can. Mmmwaaa. Take care.
 
Kumwaga mke au family inategemea na safari..kuna zile za siku mbili na kuna zile za miezi.au mwaka etc.. Kwa wale wenzangu wanaozunguka kutafuta maisha na kuacha familia zao kwa muda mrefu wana elewa uchungu wa kuwa mbali..

Sometime, It pains a lot to make a call home..Unaongea vizuri na mpenzi au watoto wako..wakikata simu unalia sana...unajisikia kama hujaitendea haki familia yako kwa kuiacha peke yake kwa muda mrefu..lakini at the same time you have to fight for them. Anyway, wakati wa kuagana hakuna formula...unaweza .kutabasamu mdomoni lakini moyoni kumejaa majonzi ..kama mwanaume unajikaza kisabuni..Mimi binafsi kuagana ni sehemu pekee ambayo siipendi ..na nimetafuta njia nyingi kuikwepa..kwani moyo huwa unaumia kupita kiasi..
 
Ila kama unaenda safari ya mbali lazima roho ikuume aisee! Kumwacha mpenzi/mke/mume si jambo la kitoto teh!
 
Juzi imebidi nimchumu ndio niondoke, jamaa yangu kanambia wake mpaka afanye nae mambo fulan ndio aondoke, pasipo hivyo safari hukosa amani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…