Upatikanaji vyeti vyuo vikuu

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,216
Reaction score
26,225
Wadau wa JF wale ambao mmepitia vyuo vikuu vya nchi hii,hivi huu ukiritimba unaofanywa na vyuo vikuu almost vyote vya nchii hii katika kutoa vyeti pindi umalizapo chuo umekosa dawa kabisa!maana unamaliza chuo kupata cheti ni mbinde,karibuni tuchangie hili juu ya hili tatizo.
 
Labda kama unadaiwa lakini kama ushaclear kwanini wakusumbue ndg!
 
kuchukua cheti ni mwaka moja baada ya kumaliza elimu yako na hiyo ndivyo ninavyojua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…