Guys neona nilete hii topic mezani kwa ambae anajua au experience, ukiachana na degree na masters chini kuna diploma na certificate but lets highlight kwa diploma hasa hali ikoje let's say upande wa tech (IT).
Guys neona nilete hii topic mezani kwa ambae anajua au experience, ukiachana na degree na masters chini kuna diploma na certificate but lets highlight kwa diploma hasa hali ikoje let's say upande wa tech (IT).
Kwa mm bora nikapiga Dipl. Alaf nikajichanganya kitaa na kupambania ajira, kuliko 2yrs form 5&6 na 3yrs ya degree =5yrs ambayo hata ajira ni ysmkin ila kitaa kazi ni moja tu ya IT degrees ni wengi mno kitaa hata kuliko dipl.
Guys neona nilete hii topic mezani kwa ambae anajua au experience, ukiachana na degree na masters chini kuna diploma na certificate but lets highlight kwa diploma hasa hali ikoje let's say upande wa tech (IT).