Upatikanaji wa barley,

Upatikanaji wa barley,

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wakuu napenda kujua ni wapi naweza pata hii barley naihitaji sana na ya kutosha, ingawa najaribu kucheki Karatu, Hanang na West kilimanjaro ambapo inalimwa. mwenye info pls
 
Shayiri, hutumika kutengenezea kilevi, kama unataka ya mifugo popote kwenye kiwanda cha bia unaweza ukaipata kama waste, kwa fedha kidogo unaweza ukapata truck loads, depends with demand
 
Shayiri, hutumika kutengenezea kilevi, kama unataka ya mifugo popote kwenye kiwanda cha bia unaweza ukaipata kama waste, kwa fedha kidogo unaweza ukapata truck loads, depends with demand

Mkuu nahitaji ikiwa kama ilivyo sihitaji west au yale machicha yake, nataka seeds
 
Wakuu napenda kujua ni wapi naweza pata hii barley naihitaji sana na ya kutosha, ingawa najaribu kucheki Karatu, Hanang na West kilimanjaro ambapo inalimwa. mwenye info pls

Unataka kilo ngapi,
 
Bado kipindi cha kivuna ukitaka kwa Karatu mwezi August nenda maeneo ya Tarafa ya Mbulumbulu vijiji vya Rotia na Slahhamo pia Upper Kitete japo wanalima kwa mkataba na Tanzania Breweries kuna wakulima wadogowadogo wanaweza kukuuziagunia la kilo 100:kwa Tsh 70000/=
 
Mkuu chasa bila shaka utakuwa umeiona fursa ndani ya shayiri (barley). Funguka basi nasi tupepese japo macho tuyaone yalojificha!
 
Last edited by a moderator:
Bado kipindi cha kivuna ukitaka kwa Karatu mwezi August nenda maeneo ya Tarafa ya Mbulumbulu vijiji vya Rotia na Slahhamo pia Upper Kitete japo wanalima kwa mkataba na Tanzania Breweries kuna wakulima wadogowadogo wanaweza kukuuziagunia la kilo 100:kwa Tsh 70000/=

Ya mkuu nisha ongea nao nasubilia mavuno yafike, na si Karatu tu hata Monduli Juu wanalima sana pamoja na west Kilimanjaro
 
Inatumika kulishia mifugo,kwa mfumo wa hydroponic fodder,
Mkuu chasa bila shaka utakuwa umeiona fursa ndani ya shayiri (barley). Funguka basi nasi tupepese japo macho tuyaone yalojificha!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom