Upatikanaji wa kuku wa kienyeji mkoa wa Singida na gharama zake

Upatikanaji wa kuku wa kienyeji mkoa wa Singida na gharama zake

nyantuzu

Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
87
Reaction score
23
Habar wana jamvi? Samahani naomba kujuzwa gharama ya kuku wa kienyeji mkoani Singida nahitaji wa kufuga anayekaribia kutaga ni shilling ngapi kwa kila kuku mmoja? Na nimaeneo gani/ kijiji gani wanapatikana kwa wingi kuku wa kienyeji pure? Na VP gharama za kusafirisha let say kuku 50 kutoka singida mpaka dar? Natanguliza shukrani!
 
Habar wana jamvi? Samahani naomba kujuzwa gharama ya kuku wa kienyeji mkoani Singida nahitaji wa kufuga anayekaribia kutaga ni shilling ngapi kwa kila kuku mmoja? Na nimaeneo gani/ kijiji gani wanapatikana kwa wingi kuku wa kienyeji pure? Na VP gharama za kusafirisha let say kuku 50 kutoka singida mpaka dar? Natanguliza shukrani!

Niko singida vijijini kijiji cha Mtinko, kuku wanapatikana kwa wingi sana hata mayai ya kyenyeji!! gharama ya kuku mtetea anaetaga haizidi elfu kumi! jogoo 13000!! kwa taarifa za usafir kwenda dar sijajua! ingawa huwa naona malor kibao yamejaza kuku!! for mo info yu ar welcom!
 
Niko singida vijijini kijiji cha Mtinko, kuku wanapatikana kwa wingi sana hata mayai ya kyenyeji!! gharama ya kuku mtetea anaetaga haizidi elfu kumi! jogoo 13000!! kwa taarifa za usafir kwenda dar sijajua! ingawa huwa naona malor kibao yamejaza kuku!! for mo info yu ar welcom!

Ahsante mkuu kwa kunijuza, hicho kijiji kwa makadirio ni kilometa ngapi kutoka mjini?
 
Habar wana jamvi? Samahani naomba kujuzwa gharama ya kuku wa kienyeji mkoani Singida nahitaji wa kufuga anayekaribia kutaga ni shilling ngapi kwa kila kuku mmoja? Na nimaeneo gani/ kijiji gani wanapatikana kwa wingi kuku wa kienyeji pure? Na VP gharama za kusafirisha let say kuku 50 kutoka singida mpaka dar? Natanguliza shukrani!

Singida kuku jike elf 7 mwisho 9 kwa jike na jogoo mwisho elf 12, bei ya kijijini ,ila tu hauwezi kuwapata kwa pamoja labda uweke chanel kwanza , Na kipindi hiki cha kilimo huaga kuku wanauzwa sana kupisha shughuli nzima za kilimo ,na uharibifu wa mazao kama maharage ********** Njoo WhatsApp +639080756515 , NENDA kijiji cha kikhonda((( gulio huaga ni siku za Jumamosi)) utawapata kiurahisi sana !!! KARIBU SINGIDA MKUU
 
Singida kuku jike elf 7 mwisho 9 kwa jike na jogoo mwisho elf 12, bei ya kijijini ,ila tu hauwezi kuwapata kwa pamoja labda uweke chanel kwanza , Na kipindi hiki cha kilimo huaga kuku wanauzwa sana kupisha shughuli nzima za kilimo ,na uharibifu wa mazao kama maharage ********** Njoo WhatsApp +639080756515 , NENDA kijiji cha kikhonda((( gulio huaga ni siku za Jumamosi)) utawapata kiurahisi sana !!! KARIBU SINGIDA MKUU

Kwa kisasi kikubwa sana nakubaliana nawe......
 
Habar wana jamvi? Samahani naomba kujuzwa gharama ya kuku wa kienyeji mkoani Singida nahitaji wa kufuga anayekaribia kutaga ni shilling ngapi kwa kila kuku mmoja? Na nimaeneo gani/ kijiji gani wanapatikana kwa wingi kuku wa kienyeji pure? Na VP gharama za kusafirisha let say kuku 50 kutoka singida mpaka dar? Natanguliza shukrani!

Km mdau mmoja alivokupa bei ni kat ya elf 7 na elf 9 kwa mtetea na jogoo ni kat ya elf 11 na 13,km auna haraka sn unaweza kusubir had kuanzia mwez wa pili na tatu huwa bei inashuka zaid,kuna kijiji kinaitwa ITITI/Mnang'ana km unaenda sepuka ni umbali wa km kilometa 12-15 toka sgd town,ukienda siku za mnada ni tar 01 na tar kat ya 20/21/22, nauli toka sgd kwenda dar ni kat ya elf hamsin na sabini wewe na tenga lako lenye kuweza kubeba kuku km 85 hv.
 
Km mdau mmoja alivokupa bei ni kat ya elf 7 na elf 9 kwa mtetea na jogoo ni kat ya elf 11 na 13,km auna haraka sn unaweza kusubir had kuanzia mwez wa pili na tatu huwa bei inashuka zaid,kuna kijiji kinaitwa ITITI/Mnang'ana km unaenda sepuka ni umbali wa km kilometa 12-15 toka sgd town,ukienda siku za mnada ni tar 01 na tar kat ya 20/21/22, nauli toka sgd kwenda dar ni kat ya elf hamsin na sabini wewe na tenga lako lenye kuweza kubeba kuku km 85 hv.

Poa sana mkuu.....
 
Singida kuku jike elf 7 mwisho 9 kwa jike na jogoo mwisho elf 12, bei ya kijijini ,ila tu hauwezi kuwapata kwa pamoja labda uweke chanel kwanza , Na kipindi hiki cha kilimo huaga kuku wanauzwa sana kupisha shughuli nzima za kilimo ,na uharibifu wa mazao kama maharage ********** Njoo WhatsApp +639080756515 , NENDA kijiji cha kikhonda((( gulio huaga ni siku za Jumamosi)) utawapata kiurahisi sana !!! KARIBU SINGIDA MKUU

Ahsante sana Mkuu.
 
Km mdau mmoja alivokupa bei ni kat ya elf 7 na elf 9 kwa mtetea na jogoo ni kat ya elf 11 na 13,km auna haraka sn unaweza kusubir had kuanzia mwez wa pili na tatu huwa bei inashuka zaid,kuna kijiji kinaitwa ITITI/Mnang'ana km unaenda sepuka ni umbali wa km kilometa 12-15 toka sgd town,ukienda siku za mnada ni tar 01 na tar kat ya 20/21/22, nauli toka sgd kwenda dar ni kat ya elf hamsin na sabini wewe na tenga lako lenye kuweza kubeba kuku km 85 hv.

Ahsante sana mkuu, hiyo bei ya nauli in kwa basi au lory?
 
Ni kwa lorry,basi haliwezi kubeba tenga kubwa la kuku 85.
 
wazoefu huwa mnafanyaje kupata kuku kwa wingi kwa pamoja?
 
Back
Top Bottom