occipito-frontalis
Senior Member
- May 28, 2017
- 133
- 70
Jamani wana JF kama naweza kupata mlolongo mzima wa namna ya kupata laini hizi za uwakala, asanteni jumaa njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laini ni lazima uwe na Tin namber certificate, lesen ya bishara, na kitambulisho, vyote viwe na jina moja..... Pia uwe na elfu 10 kwa ajili ya wakili kusign mkataba....... Then unasubiri kama mwez au miezi 2.....Jamani wana JF kama naweza kupata mlolongo mzima wa namna ya kupata laini hizi za uwakala, asanteni jumaa njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Laini ni lazima uwe na Tin namber certificate, lesen ya bishara, na kitambulisho, vyote viwe na jina moja..... Pia uwe na elfu 10 kwa ajili ya wakili kusign mkataba....... Then unasubiri kama mwez au miezi 2.....
Ila wapo walizonazo wanaziuza kama aujakidhi hivyo vigezo apo juu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na mazingira tu....! Ata ivyo iyo m1 unaeza kuitoa huku ukaiamisha huku kama unayo!Kuna mtu anasema ili upate hizo laini ni lazima uweke 1million kila laini, hii ina ukweli gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Faida yake ni kuipata tu kwa haraka bila kusubiria ila hasara yake ni ikipotea kuirenew ni kazi na pia kuibiwa tena salio lako na aliyekuuziaHizi za kununua zikiwa zilishasajiliwa zina faida zipi na hasara zipi ndugu nisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, ngoja nifuate hatuaFaida yake ni kuipata tu kwa haraka bila kusubiria ila hasara yake ni ikipotea kuirenew ni kazi na pia kuibiwa tena salio lako na aliyekuuzia
Sent using Jamii Forums mobile app