Wadau na shida moja kwa anaejua kiwanda ama msambazaji mkubwa wa Mifuko hii ya kutunzia nafaka inayoitwa Kinga njaa anielekeze ni jinsi gani nitaipata hiyo Mifuko kwa bei nafuu na Mimi niiuze?
Wadau na shida moja kwa anaejua kiwanda ama msambazaji mkubwa wa Mifuko hii ya kutunzia nafaka inayoitwa Kinga njaa anielekeze ni jinsi gani nitaipata hiyo Mifuko kwa bei nafuu na Mimi niiuze?