NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Wakuu, hongereni na majukumu ya ujenzi wa familiya zenu na nchi kwa ujumla.
Mimi ni mjasiriamali mdogo, ninabiashara ndogo eneo la Mbagala. Niliamua kuweka na mifjko hii ya kubebea bidhaa, na ninawauzia watu wenye biashara ndogo ndogo wanaowauzia wateja wao vitu basi wanawauzia na mifuko.
Mifuko nachukulia sokoni Kariakoo, Nina kimtaji nikafikiri nipate supplies ambayo wanawauzia wenzetu wa Kariakoo sokoni niwe nachukua kwao moja kwa moja.Lakini changamoto iliyopo mle sokoni hakuna wa kunielekeza wanakochukua.
Naomba mwenye ufahamu anisaidie niwe nachhkua kwa supplies moja kwa moja walau nione kafaida.
Asanteni sana,sana.
Mimi ni mjasiriamali mdogo, ninabiashara ndogo eneo la Mbagala. Niliamua kuweka na mifjko hii ya kubebea bidhaa, na ninawauzia watu wenye biashara ndogo ndogo wanaowauzia wateja wao vitu basi wanawauzia na mifuko.
Mifuko nachukulia sokoni Kariakoo, Nina kimtaji nikafikiri nipate supplies ambayo wanawauzia wenzetu wa Kariakoo sokoni niwe nachukua kwao moja kwa moja.Lakini changamoto iliyopo mle sokoni hakuna wa kunielekeza wanakochukua.
Naomba mwenye ufahamu anisaidie niwe nachhkua kwa supplies moja kwa moja walau nione kafaida.
Asanteni sana,sana.