Upatikanaji wa Miguu ya kuku

Upatikanaji wa Miguu ya kuku

Teye

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
39
Reaction score
3
Wakuu,
Kuna mtu anajua sehemu inapopatikana miguu ya kuku "fresh"(iwe kienyeji au wa kisasa) kama tani 1-2 kwa wiki?Au kuna mtu wa ku-supply hii order kwa wiki,ntaomba na bei yake kwa tani.

Karibuni.
 
Kama uko Dar, njoo interchick au twiga feeds. Wafugaji wengine wanauza kuku mzima au wakichinja miguu ndo ujira wa wanyonyoaji.
 
Mama Joe umeongea maneno mazito!
Umenikumbusha kiwanda kimoja mwanza niliona mapanki sikuamini macho yangu.
Nikaijutia sinema ya darwin's nightmare.

Cc Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe umeongea maneno mazito!
Umenikumbusha kiwanda kimoja mwanza niliona mapanki sikuamini macho yangu.
Nikaijutia sinema ya darwin's nightmare.

Cc Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
We acha tu aliyetengeneza Darwin angekutana na hii ya miguu si angeshtuka. Kuna kipindi nilikuwa na oda za kuku waliochinjwa hadi 200 kwa siku hasa wkend siku hiyo nikaona nitahitaji mtu asaidie ndo kuwajua hao wamama na wanatunza familia zao. Ananyonyoa anabeba utumbo na miguu basi, ukipenda unawaongezea hela. Maisha yako tight mitaani na pia watu ni innovative. Mama hapo haitaji mtaji wala nauli jioni anarudi na hela.
Mama Joe umeongea maneno mazito!
Umenikumbusha kiwanda kimoja mwanza niliona mapanki sikuamini macho yangu.
Nikaijutia sinema ya darwin's nightmare.

Cc Nicas Mtei
 
Last edited by a moderator:
Miguu ya kuku ya nini? Tufumbue macho tunaweza kuagiza makontena kwa makonteka hata kutoka nje maana nje kule zaidi naona wanakula wings na mapaja nahisi miguu wanaitupa.
 
Mie nliju mguu wa kuku bistola kumbe kwato!! Tani zote za nini au mchawi wewe?
 
Aisee huu ujumbe niliuelewa tofauti kabisa. Nilikuwa nafikiri bastola kumbe miguu ya kuku tuwafugao!
 
Miguu ya kuku ya nini? Tufumbue macho tunaweza kuagiza makontena kwa makonteka hata kutoka nje maana nje kule zaidi naona wanakula wings na mapaja nahisi miguu wanaitupa.
Akufungue macho uibe wazo lake. mwenzangu usifanye kosa hilo (kula jiwe) Sitasahau siku niliyoenda kwa jamaa (ROYA - Lawyer) kuomba anisaidie namna ya kununua nyumba bila kutapeliwa (ilikuwa na hati na ya urithi, lakini bei poa), jamaa akaniuliza maswali kibao nami nikampa kila kitu, si akaongeza dau kidogo kachukua yeye we acha tu!. HIVYO USISEME KAMA ANAYO HIYO MIGUU akuambie bei BASI!, Hataki atambae
 
Ahsante Mama Joe,niko Dar nitakuja interchick.

Kama uko Dar, njoo interchick au twiga feeds. Wafugaji wengine wanauza kuku mzima au wakichinja miguu ndo ujira wa wanyonyoaji.
 
Kwa habari ya miguu ya kuku wa kienyeji ulizia kisutu sokoni.
 
Mama Joe umeongea maneno mazito!
Umenikumbusha kiwanda kimoja mwanza niliona mapanki sikuamini macho yangu.
Nikaijutia sinema ya darwin's nightmare.

Cc Nicas Mtei

Mkuu umenichekesha, hauwezi jua jamaa anatafuta miguu ya kuku kwa ajili ya nini...labda anataka kutengenezea animal feed!1..Hayo mapanki mbona kuna jalala kabisa kila siku malori yanaenda kumwaga....sku hizi yanaishia palepale kiwandani watu wanayagombea
 
Akufungue macho uibe wazo lake. mwenzangu usifanye kosa hilo (kula jiwe) Sitasahau siku niliyoenda kwa jamaa (ROYA - Lawyer) kuomba anisaidie namna ya kununua nyumba bila kutapeliwa (ilikuwa na hati na ya urithi, lakini bei poa), jamaa akaniuliza maswali kibao nami nikampa kila kitu, si akaongeza dau kidogo kachukua yeye we acha tu!. HIVYO USISEME KAMA ANAYO HIYO MIGUU akuambie bei BASI!, Hataki atambae

I am not that evil my brother namsaidia kumfungua mawazo.🙂
 
Nnavyojua kuna ule unga wa mifupa unawekwa kwenye vyakula vya mifugo ila unatokana na fuvu za ng'ombe zaidi. Hakuna kisichotumika au kisicholika sikuizi.
 
Back
Top Bottom