Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,572
Sasa jamii forum kuna wakulima wa ndizi??? Humu wote tunaishi mjini.Watu wanPenda thread za kipuuzi tu... Lakini hizi wala
Sasa jamii forum kuna wakulima wa ndizi??? Humu wote tunaishi mjini.
Mkuu kama upo dar nenda soko la mabibo asubuhi sana pale hukosi kituHabarini ndugu zangu?. Samahanini kwa usumbufu....ninaomba mnisaidie kujua ni eneo gani (kitongoji/wilaya/mkoa) zinapopatikana ndizi za kuiva kwa wingi...na itapendeza zaidi kama nikasaidiwa kujua na bei zake kwa huko mashambani au masokoni.
Natanguliza shukrani zangu za dhati....
AggyJ bana [emoji28].
Muanzisha thread ndo kaanzisha kipuuzi. Sasa mtu anaulizia ndizi mbivu afu hata hasemi yuko wapi. Kama yuko Sudan ya Kusini na mimi niko huku Torabora ntamsaidiaje kwa mfano?Watu wanPenda thread za kipuuzi tu... Lakini hizi wala
Hahaa jamaniMuanzisha thread ndo kaanzisha kipuuzi. Sasa mtu anaulizia ndizi mbivu afu hata hasemi yuko wapi. Kama yuko Sudan ya Kusini na mimi niko huku Torabora ntamsaidiaje kwa mfano?
Nani kakuambia yuko Dar?Mkuu kama upo dar nenda soko la mabibo asubuhi sana pale hukosi kitu
Upo wapi ndugu?Habarini ndugu zangu?. Samahanini kwa usumbufu....ninaomba mnisaidie kujua ni eneo gani (kitongoji/wilaya/mkoa) zinapopatikana ndizi za kuiva kwa wingi...na itapendeza zaidi kama nikasaidiwa kujua na bei zake kwa huko mashambani au masokoni.
Natanguliza shukrani zangu za dhati....
Nani kakuambia yuko Dar?
Kwahiyo unataka kunambia yeye ni mwanaume wa Dar?Nimehisi tu.. Labda yupo dar tutajuaje
Kwahiyo unataka kunambia yeye ni mwanaume wa Dar?
Aswa....wapo wengi tu.Hahaa kuna wakulima humu ila wanajifanya wakishua
Wapo wengi tu....Jf ni chaka kubwa sana la kijamii.Sasa jamii forum kuna wakulima wa ndizi??? Humu wote tunaishi mjini.
Asante sana Mkuu...God bless you.Mkuu kama upo dar nenda soko la mabibo asubuhi sana pale hukosi kitu
Muanzisha thread ndo kaanzisha kipuuzi. Sasa mtu anaulizia ndizi mbivu afu hata hasemi yuko wapi. Kama yuko Sudan ya Kusini na mimi niko huku Torabora ntamsaidiaje kwa mfano?
Upo wapi ndugu?