Asante sana kwa mchango wako Mkuu...God bless you.mkuu mimi nimezaliwa kwenye ndizi Moshi, lakini ndizi za kuiva classic zinapatikana morogoro, ndio ndizi tamu ajabu kuliko zote nilizowahi kula Tanzania. huko morogoro maeneo ya milimani matombo na sehemu zingine
Asante sana Mkuu...nimekupata vizuri tu na nitalifanyia kazi. God bless you...Morogoro mkuu Kuna machimbo ya kutosha ndiz za maana
Asante sana Mkuu, nimekupata vema....God bless you.Nenda rombo...asilimia kubwa ya ndizi zinazouzwa dsm zinatoka huko!
Nenda Mahenge Morogoro, wanandizi za kutosha kuanzia za kuiva different varieties na ile ya kukaanga wanaiita Mzuzu.
Sawa, nitakutafuta....asante ndugu.Nitafte kwa namba hii ili tufanue kazi ndg 0742613347
Njoo Morogoro kuna kijiji kinaitwa Mwanzo Mgumu kipo kama 12 km toka Mjini hapo ndo zapatikana za kutosha, Ama kam utapata muda ushuke mpaka kijiji kiitwacho Kiloka ni takribani 24 Km toka hapa Msamvu
Habarini ndugu zangu?. Samahanini kwa usumbufu....ninaomba mnisaidie kujua ni eneo gani (kitongoji/wilaya/mkoa) zinapopatikana ndizi za kuiva kwa wingi...na itapendeza zaidi kama nikasaidiwa kujua na bei zake kwa huko mashambani au masokoni.
Natanguliza shukrani zangu za dhati....
Napatikana katika jiji la Dar Es Salaam, nchini Tanzania.
Tembelea wauza matunda soko la Buguruni watakuelekeza.