Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

oruguyo

Senior Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
132
Reaction score
37
Ndugu wana jamvi naomba Kutumia nafasi hii Kufahamishwa ni kwa jinsi gani ninaweza kupata Soko la Uhakika la Pumba za Mahindi, Pia namna Bora ya kuendeleza biashara na kuongeza thamani ya nafaka ikiwemo Mahindi, Karanga, pia Mchele.

Kwa upande wa pumba za Mahindi Mpaka sasa nimekusanya gunia (120) Mia moja kwa mawasiliano 0765780307 au 0785749953. Geita katoro au ushirombo bukombe.
 
Kwa sasa unapatikana mkoa gani na unauza sh. Ngapi?
 
Unauzaje na uko wapi
 
pumba za mahindi kwa mwenye uhitaji,Katoro Geita 0713148453.
 
Mwenye uhitaji wa pumba n nzur inachakula Cha kutosha npo moshi
 
Ukipiga molasses ng'ombe wanapenda sana hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…