Habari wakuu...
Ukiwa katikati ya jiji la Arusha utawakuta wamasai wengi wakiwa wanafanya biashara ya Tanzanite huku baadhi yao wakiwa na magari ya kifahari ikionesha dhahir kuwa biashara hiyo inalipa. Kwa waliowahi kufanya huwa zinapatikanaje machimboni Mererani na huuzwaje gramu1?