Nafsi huru Senior Member Joined Sep 25, 2015 Posts 132 Reaction score 133 May 15, 2020 #1 Habari wakuu naomba kuuliza hivi kunakuwa na gari za kwenda Moshi kutokwa Dar, Jumamosi jioni naweza pata.
Habari wakuu naomba kuuliza hivi kunakuwa na gari za kwenda Moshi kutokwa Dar, Jumamosi jioni naweza pata.
Boveta JF-Expert Member Joined Jul 23, 2019 Posts 3,174 Reaction score 3,804 May 16, 2020 #2 Nafsi huru said: Habari wakuu naomba kuuliza hivi kunakuwa na gari za kwenda Moshi kutokwa Dar, Jumamosi jioni naweza pata. Click to expand... Nenda urafiki pale sheli kuna Coaster zipo, au mwenge kwenye sheli ya puma pale, nauli kuanzia elfu 20.
Nafsi huru said: Habari wakuu naomba kuuliza hivi kunakuwa na gari za kwenda Moshi kutokwa Dar, Jumamosi jioni naweza pata. Click to expand... Nenda urafiki pale sheli kuna Coaster zipo, au mwenge kwenye sheli ya puma pale, nauli kuanzia elfu 20.