Mkuu Kama ulitoa bikra kirahisi tafadhali ukibahatika kupata watoto wakike uwafundishe umuhimu wa bikra kwani ni heshima Sana.Hawawasahau kivipi mkuu?
MKUU SI UNAJAU TENDO LA KUTOA DAM MTU NI UPATANISHO WA KROHO NA KIMWILIHawawasahau kivipi mkuu?
IPhone 6 duuuh,,,bora bikra maana ni lazima kupoteaHivi kupoteza I Phone 6 na kupoteza Bikra kipi ni hasara ?
Mhhh usifananishe iPhone na vitu vya kijinga...Hivi kupoteza I Phone 6 na kupoteza Bikra kipi ni hasara ?
Huo ni utafiti au maoni yako mkuu?Wapo kulingana na miaka wenye miaka kuanzia 1 mpaka 10 wapo asilimia 100, kuanzia 11 mpaka 17 wapo asilimia 90 kuanzia 18 mpaka 25 wapo asilimia 40 kuanzia 26 mpaka 30 wapo asilimia 1 na kuanzia 31 mpaka karne kumpata labda ukapige ramli
HahahahUmemkumbuka boifrendi wako wa kwnz
Mh!Hahahah
Boifrendi wa kwanza siwezi kumsahau asee kwasababu nipo nae till now [emoji12]
He's my first na last man
Nini sasa
Labda anataka kufunga shelaBikra umetumwa na mganga?
Halafu ukubwani mnaulizia bikra wakati mlishazitoa utotoni ni ufala huuu! Achen kuzitoa muone zinavyokuwa available! Mmefanya kuwa kitu adiiiiimu!Mkuu mi nna balaa nlipiga bikra utotoni kipindi cha michezo ya kibaba Baba na kimama mama
Umeamua kunipiga fixNini sasa
Mzoga ni sister ako!Niliapa siwezi oa mwanamke ambaye sikukata utepe. Hata Kama atachepuka lakini Mimi ndio ufunguo.
Am the king of the jungle.
Siku zote namba moja.
Sikubali kupewa wala kuwa namba mbili.
Bikra wamejaa mkuu.
Ila hao wanaokutisha kuwa bikra imepitwa na wakati wamezoea kuwa namba mbili, kukuta mlango upo wazi wasio ufungua wenyewe. Yaani ni Kama mnyama aitwaye fisi ambaye huweza kula mzoga asiouua yeye.
Mwenye akili atanielewa lakini waliozoe kula mizoga watakuja na Povu hapa
Dhaaa sasa me wa mwishoHahahah
Boifrendi wa kwanza siwezi kumsahau asee kwasababu nipo nae till now [emoji12]
He's my first na last man