Majibu unayo tafuta ni kujua kwamba mkopo umeupata au lini pesa inawekwa? Kama ni kucofirm wengine wamesha tumia sms za kupata mkopo lakini pesa bado haijatoka.Salaam waungwana, poleni na hongereni kwa majukumu mbalimbali mliyonayo wakuu, niende moja Kwa moja kwenye mada, Je Kuna mtu mwenye update yoyote kwa waliomba Mikopo ya elimu ya juu majibu yanategemewa kutoka lini? Nikiangalia ratiba ya vyuo mbalimbali vingine vinafungua tar 21 Ocktoba na mpaka Sasa bado hakuna update kutoka kwenye bodi@
Aisee na mimi hii naisikia kwako, kumbe kuna wengine wameshatumiwa msg hongera sana kwao ngoja tusubiri wengineMajibu unayo tafuta ni kujua kwamba mkopo umeupata au lini pesa inawekwa? Kama ni kucofirm wengine wamesha tumia sms za kupata mkopo lakini pesa bado haijatoka.
hii taarifa ni official?Wanasema hadi kesho
Yeahhii taarifa ni official?
Aisee, wengine tumezoea kuingia kwenye website kuangalia news ndipo tupate taarifa kumbe wametoa taarifaYeah
nami najiuliza mkuuTaarifa wametoa wapi?
hiyo ya msg ni kweli?Tuombe kheri ndg
andika neno lilivyo kweny accout yako maan picha aifungukiSijui lolote ndg nami ndiyo maana nimeuliza, kwangu naona akaunti ipo hivi
Ndiyo ila pesa bado haijatoka wanasubilia kupata confirmation kutoka vyuoni.Aisee na mm hii naisikia kwako,kumbe kuna wengine wameshatumiwa msg hongera sana kwao ngoja tusubiri wengine
Hawaweki % sms ni fupi inasema mkopo wako uko confirmed pending for University confirmation...Umepata % ngapi? Hongera sana
Taarifa wametoa wapi?