Update custom assistant interview

Update custom assistant interview

Ngunya1

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
439
Reaction score
698
Habari kwa mliofanya interview ya custom assistant naomba kufahamu ni maswali gani yametoka mimi sijafanya sababu nilipoteza kitambulisho cha taifa nina copy na lost report lakini wamekataa
 
Dah pole sana wenzio walikatwa 7bu hawajaweka picha kwny portal ww unaenda n copy ya ktambulisho. Hakuna kitu wapo serious nacho km ktambulisho.. Pole sna siku nyngine nenda na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa
Habari kwa mliofanya interview ya custom assistant naomba kufahamu ni maswali gani yametoka mimi sijafanya sababu nilipoteza kitambulisho cha taifa nina copy na lost report lakini wamekataa
 
Dah pole sana wenzio walikatwa 7bu hawajaweka picha kwny portal ww unaenda n copy ya ktambulisho. Hakuna kitu wapo serious nacho km ktambulisho.. Pole sna siku nyngine nenda na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa
Asante mi sikufahamu leo ndo nimejua kumbe lost report haina umhimu
 
Habari kwa mliofanya interview ya custom assistant naomba kufahamu ni maswali gani yametoka mimi sijafanya sababu nilipoteza kitambulisho cha taifa nina copy na lost report lakini wamekataa
Kwani Kitambulicho Cha mpiga kura hauna..?
 
Ety wadau hebu niulize hv kama mtu Yuko na Kitambulicho Cha chuo anachosoma ataruhusiwa kuingia kwenye Usaili, Maana nayo pia ni Identity au vp
Vitambulisho vinavyopokelewa ni passport ya kusafiria,kitambulisho cha mkazi,NIDA, kitambulisho cha mpiga kura na driving licence tu.
 
Dah pole sana wenzio walikatwa 7bu hawajaweka picha kwny portal ww unaenda n copy ya ktambulisho. Hakuna kitu wapo serious nacho km ktambulisho.. Pole sna siku nyngine nenda na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa
Hata hiyo barua ya utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa hawakubali
 
Hata mm pia natka kujuwa yaliulizwa maswali gani ktk ule mtiani wa customs
 
Habari kwa mliofanya interview ya custom assistant naomba kufahamu ni maswali gani yametoka mimi sijafanya sababu nilipoteza kitambulisho cha taifa nina copy na lost report lakini wamekataa
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom