UPDATE: Kenya yapanga kubadili katiba ili kuunda ofisi ya waziri mkuu

You need funds right? Na jubilee aren't that much stupid to finance any reforms that may put them in jeopardy.
No funds opposition iko nayo tayari ubaya Jubilee inatumia

NGO registration Board ya fazul ku cancel NGOs zinazo fund opposition kama ile ya George Soros na Rosemary Odinga foundation they locked 500mn Kshs na upto 3bn kshs for opposition funds na kuongeza vigezo ili msipate pesa toja nje ya Kenya kutumia kwa campaigns zenu za referendum....sasa Opposition ina result kwa kuitisha fund raising within Kenyans
 
Ndo hapo ule usemi kuwa kati ya executive, parliament na judiciary, executive ina deeper roots kuliko nyingine unadhihilika!

btw, kila la kheri when you claim for what you believe to be right and in need!
 
So FYI

Nasa Leaders in Coast have called a press conference


HERE IS THE RESULTS

AM SO READY FOR THIS

 

Nami nikakuambia israel rais sio kiongozi wa serikali kwa hiyo PM yuko pale kuongoza serikali. Ndiyo tanzania ni kubwa na rais ni kiongozi wa nchi na serikali so PM yuko pale kusaidia utekelezaji. Ndiyo US ni kubwa PM sio lazima sababu mambo mengi tu yako kwenye serikali za majimbo.
 
Case closed! We're heading nowhere.
 

Lakini pia mifano yako haijajitosheleza maana nchi kama USA in kubwa lakini miundo mbinu IPO ya uhakika, hivyo rais anaweza kushughulkia eneo o

Mfano wako haukujitoshekeza, siku zote huwa nawaambia muache kujilinganisha na nchi kama USA. Wale hata kama nchi yao kubwa, lakini miundo mbinu yao ipo imara na ya kisasa kiasi cha kuifanya nchi yao kuonekana kama kijiji kimoja. Kwamba rais anapata taarifa za kusadikika za pembe zote za nchi ndani ya muda mfupi sana.

Akitaka anaweza kuzunguka nchi yote ndan ya siku moja, ukija Afrika na nchi kubwa kama Bongo, rais kusafiri tokea Dar hadi Morogoro anasababisha mafoleni kote kote. Kuna siku msafara uituondoa njiani hapo, ikabidi tusubiri hadi mkulu apite. Juzi nimekua hapo kwenu, umeme balaa kisa mvua imenyesha siku mbili, jameni Dar mji mkubwa wa biashara umeme unakatika siku nzima.
Magari ya kwenda mikoani ikashindwa kusafiri kisa daraja limebomoka, Afrika bado sana, tena nadiriki kusema bao.... Leo hii mnajishaua kuhangaika na treni za umeme lakini watu kwenye miji mikubwa wanakatikiwa na umeme kutwa nzima.
 

Wewe bwana hebu tuliza akili. Sio kila aspect hailinganishwi kisa tofauti ya uchumi. Unafikiri wakati marekani wanaunda hii katiba uchumi wao ulikuwaje!?

Halafu hili suala la kupandisha hoja zaidi ya mbili tatu kwenye uzi mmoja umeanza lini? Hebu fungua uzi tuje tukujibu sio kutupandishia hapa hapa hoja za umeme, barabara, mabasi na kila nk.
 
Sasa kwa nini katiba mpya haikuacha nafasi ya PM kama ilikuwa nzuri?

Sababu za kuiondoa zilikuwa zipi?
Hiyo unayoiongelea ni Presidential System with Position of PM kama yetu. Wanachojadili ni kuwa na Parliamentary System kama ya Israel.
 
Wakenya mmeamua kupoteza muda...Asante Magufuli kwa kupotezea mambo ya katiba mpya na kudil na mambo ya msingi
 
Kwa ustawi wa Kenya lazima Uhuru afanye mazungumzo na Raila wamuingze kwenye Serikali ili Kenya patulie kisiasa...kijamii na kiuchumi..waongee naye wafanye amendment ya katiba wampe ata Uwaziri Mkuu..japo wasiadizi wa Kenyata hawataki hususan wale wenye malengo ya Urais 2022 wakiongozwa na master mind wake Rutto wanahofia nguvu ya Raila akiiingia Serikalini Kua ataadhiri mipango yao ila hawana jinsi Kwa maslahi ya Wakenya na Nchi yao kujidanganya Kua Raila hana madhara ni uongo tumeshuhudia leo Safaricom wameanza kulia kama watoto..kuna Wakenya wengi wanaenda kukosa Ajira..pia uhasama na chuki baina ya Wakenya unazidi maradufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…