Update live:Liverpool vs Leicester city,

Hebu lete tathimini yako nani ataibuka mshindi

Duu kwa pale nyuma ktk ukuta wa liver naona matatizo makubwa skirtel na lovren wako nje maana yake wanasimamia Kolo na sakho wote wazito sioni jinsi gani hawa watamzuia mahrez
 
Kuna nyuzi za hizi club,hakukuwa na haja ya kuanzisha huu uzi. Mpira uwanjani,tusubiri dakika90
 
Duu kwa pale nyuma ktk ukuta wa liver naona matatizo makubwa skirtel na lovren wako nje maana yake wanasimamia Kolo na sakho wote wazito sioni jinsi gani hawa watamzuia mahrez

Halafu linganisha na ukali wa wale akina Vardy na mwenzake Mahrez!!
Mmmmh lazima liver watakula nyingi sana kama sikosei watagongwa 3 bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…