Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

TZ-1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
4,321
Reaction score
7,501
Wadau wa mazao msimu wa korosho umeanza na umeanza vzr , nazn n vyema tukatumia forum hii kupeana update huko mnadani nini kinaendelea

Naomba taarfa za bei za minada ziwe rasmi kuepusha mislidi

Mnada wa kwanza wa msimu mpya wa korosho mwaka 2024/2025 umefanyika leo October 11,2024 katika Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara, ukisimamiwa na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), huku bei ikipanda hadi kufikia Tsh. 4120 kwa kilo moja.

Mnada huo umeshuhudia kilo moja ya korosho ikiuzwa kwa bei ya kati ya Tsh. 4,120 bei ya juu na 4,035 bei ya chini.

Chama Kikuu cha Ushirika kinachohudumia Wilaya za Newala na Tandahimba (TANECU) kimepeleka sokoni jumla ya tani 3,857 za korosho katika mnada huo, ambazo zote zimenunuliwa.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ambaye ndiye Mgeni rasmi katika mnada huo, amesema huo ni mwanzo mzuri ambao unaonesha kuwa msimu wa korosho 2024/2025 utakuwa wa manufaa kwa Wakulima.
 
RATIBA ZA MINADA ,

TUPEANE UPDATE ZA LINDI
 

Attachments

  • IMG-20241011-WA0005.jpg
    IMG-20241011-WA0005.jpg
    111.3 KB · Views: 15
Update lind
 

Attachments

  • IMG-20241012-WA0022.jpg
    IMG-20241012-WA0022.jpg
    67.7 KB · Views: 22
Kumekucha kusini
 

Attachments

  • b4f3c299c2aa4593930b9cdc26c2ba3e.mp4
    16.7 MB
Update zinaendelea...
 

Attachments

  • IMG-20241013-WA0005.jpg
    IMG-20241013-WA0005.jpg
    140.9 KB · Views: 17
  • IMG-20241013-WA0004.jpg
    IMG-20241013-WA0004.jpg
    121 KB · Views: 13
Update masas
Tshs4150/kg1
 

Attachments

  • IMG-20241014-WA0002.jpg
    IMG-20241014-WA0002.jpg
    121 KB · Views: 15
Korosho za soko la Kisutu ni tamu na nzuri kuliko za kununua kwenye maeneo ya Lindi na Mtwara.

Za soko la Kisutu wanazitoa wapi?
 
Back
Top Bottom