Update ya mechi ya stars na rwanda

Update ya mechi ya stars na rwanda

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,832
Reaction score
2,390
Jamani tuhabarishane matokeo ya mechi pls
 
jamani hakuna mtu huko amahoro atupe updates
 
wadau mnaopata hayo matokeo kwa njia yoyote ile tunaomba muendelee kutuabalisha jamani
 
wadau mnaopata hayo matokeo kwa njia yoyote ile tunaomba muendelee kutuabalisha jamani
hebu pitia kwenye website ya mwananchi wameshatoa.
Ila we need a stronger team Rwanda ni wadogo saana kwetu. Tuwaombe bafana bafana
 
ok mkuu nashukuru nimeshapitia, ni kweli sasa zinahitajika timu ngumu zaidi kwa ajiri ya kujipima ili hata tukishinda tunajisifu kwamba tulifanya kazi.
 
Rwanda wako nafasi ya 100+ wakati stars wako nafasi 94. kwanini tusicheze na timu zenye uwezo?
Maximo anaendelea kutufanya wajinga.
 
He he he he he,ooooh tunashinda mechi za nyumbani tu. Jamani soka linasogea katika mwendo mzuri tu. Tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh
 
Back
Top Bottom