Kweli kabisa mkuuMarefa bado ni tatizo kubwa sana kwakweli, yaani hakuna cha kuhonga wala nini ila marefa ndio tatizo!! Tuanze kulaumu marefa hawa ndio tatizo kwene soka letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaah...!! We eleza hata matukio muhimu ....hakuna kutembea juu ya mpira leo ??.Update zinakuja muda wote mkuu, Mashabiki wa yanga Sio Jobless kama wa Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania kwa sasa hatuna Waamuzi wa kuchezesha Ligi hatuna.
Tulia wewe
Duh...! , ...... ndo mana updates hakuna humu...! Awa 🐸 🐸 wacha wabaki kuwa bingwa wa somo la historia...lkn ubingwa wa ligi inayoendelea wausahau...!!Magoli mawili ya lipuli yamekataliwa
Tulia, Update gani unayoitaka zaidi ya hiiDuh...! , ...... ndo mana updates hakuna humu...! Awa [emoji196] [emoji196] wacha wabaki kuwa bingwa wa somo la historia...lkn ubingwa wa ligi inayoendelea wausahau...!!
Dah, sijaona wale viherehere kuzungumzia maamuzi ya refa leo..!
Achana nao, bundle zenyewe hawana huoni uzi wa mechi yao mchangiaji ni Zero IQ peke ake, akili zao zinalingana na hali zao. Mechi Lipuli kanyongwa wazi wazi lkn kwa vile Wanasimba wanastaha zao huwez sikia mtu anabwabwaja ujinga. Yupo hapa jukwaani mwingine anaitwa GIDE kapotea gafla. Anajua kupepeta mdomo zaidi ya zumar lkn leo kimiaaaa.Dah, sijaona wale viherehere kuzungumzia maamuzi ya refa leo..!