Basi kama ni hivyo nchi haitatawalika. Huwezi ingia ikulu kwa damu ukasalimika.
Dr. slaa kafanya kazi kubwa sana, ametoka bungeni kaingiza zaidi ya watu kumi, muhimu wapinzani wamtafutie jimbo agombee pakitokea upenyo.Uzuri kina Marando wapo hawatashindwa kumtoa mtbunge mmoja CCM na Slaa arudi bungeni tena
mnyika jj kijana wa A 9 form four 1998,goooooooo jj mnyika
Msimamizi wa Uchaguzi wa Ubungo alikuwa akihojiwa na TBC habari kwa ufupi saa 5 usiku huu anasema utaratibu wa matokeo tume ndiyo umebadilika na ameeleza kuwa kuchelewa kwao hakuna nia ya kubadili matokeo kwa vile matokeo yote chadema wanayo kupitia kwa mawakala wao na wanajua matokeo yao kwa hiyo akibalisha wanaweza kusababisha matokeo.Ufanyaji kazi wa NEC hauko huru,unatia shaka sana ni wazi wanaisaidia sisiem
kaka umesahau kuwa alikuwa na C ya kiingereza?japo ni mkali wa english na alikuwa mwenyekiti wetu wa debating club?mimi nilikuwa ujamaa nanyi umoja ni jirani zetu,unakumbuka mambudi na vinyangarika?usimtaje mzee mbundu hapa,goooooooooooo jj mnyika unaweza sanaTaarifa zako siyo Sahihi. Mnyika alipata A's 10 na si 9. Mimi nilkuwa form 6 Maua wakati Mnyika akimaliza Form IV. Pia tulikuwa wote "Umoja House" moja ya majina ya mabweni Maua Seminary
Wapendwa wapenda mabadiliko chanya na maendeleo. Asanteni sana kwa msukumo wenu mnaotoa kwa tume itoe matokeo haraka. UKWELI NI ULE ULE; kijana wenu J.J MNYIKA ni mshindi. Lakini jambo linalochelewesha kuwapeni hii RAHA RASMI ni ukataratibu mbovu wa NEC unaotaka kwanza nakala za matokeo toka vituoni ziwe scanned na kuhifadhiwa ktk comp ndo kisha wajumlishe na kutoa matokeo. NEC haikuwa imejipanga vema ktk utaratibu huu maana awali walikuwa wanatumia comp &scanner 1 tu! jambo lilosababisha zoezi kwenda kwa kasi ya kobe. Baada ya kazi yenu nzuri ya kutoa msukumo nec imeongeza vifaa na imehafiki software mbadala (but safe) kutumika kujumlisha matokeo. Lkn zoezi kwa ujumla ni kubwa mno na si la msingi hata kidogo kuwa kikwazo kutoa matokeo. Imagine kuscan na kuhifadhi copies kama 1300! Alafu ndo muje kujumlisha na kutoa matokeo! NGUVU YENU ITASIKIKA NA ITATUSAIDIA KUIFANYA TUME kuruka utaratibu huu wa kidhalimu.
Acha Ufala wewe nani kakwambia wanahesabu upya? Kitu wanachofanya wanajumlisha Upya