Updates: Mkwawa Water Rally Challenges Iringa

Pukudu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
3,149
Reaction score
2,232
Jamani kwa yeyote aliyepo Iringa atupe updates: mimi ntaleta picha na matukio kadri ntavyokuwa napata kutoka kwa watu walioko huko!!
Mashindano haya ni magumu kwa kuwa undistiputed champion Gerald Miller "Babu" ategemea kupata ushindani toka kwa Ahmed Huwell mwenye ford Fiesta pronto. .




Matokeo ya Rally Day one

Updates za michezo leo
 
Ah mashindano ndio yapo hatua za mwisho mwisho, hapa mkwawa ndio yanapo ishia,wanamalizia mkwawa (Ikonongo). mpaka sasa yamefika magari matano na gari la kwanza limefika saa nane
 
Ah mashindano ndio yapo hatua za mwisho mwisho, hapa mkwawa ndio yanapo ishia,wanamalizia mkwawa (Ikonongo). mpaka sasa yamefika magari matano na gari la kwanza limefika saa nane
Kesho ndo mwisho leo kna nani wamemaliza?
 
Rally tamu sana kwa kweli
 
Watu wakimuona babu wanajua lazma wakae
Babu ni shida kakimbiza tena! Ila Dhiram Pandya atakuja kuwa shida ... ila hongera kwa STADO Team kurudi Shanto, Huwell na Davis Mosha
 
Babu ni shida kakimbiza tena! Ila Dhiram Pandya atakuja kuwa shida ... ila hongera kwa STADO Team kurudi Shanto, Huwell na Davis Mosha
Huwel gari imemuangusha naskia ilikata waya gani sijui akapigwa bao.. Ila babu noma aisee..
 
Huwel gari imemuangusha naskia ilikata waya gani sijui akapigwa bao.. Ila babu noma aisee..
Huwell ni dereva mzuri ila itamchkua muda kidogo kuzoea hiyo gari ... ila akiizoea atasumbua sana!!anaweza kuwa hata bingwa wa East Africa.
Babu ni namba nyingine Ile Evo 9 yake hata body inafika nzima. Ni more experienced driver kacheza rally nyingi sana!
 
Randeep Singh sio wa mchezo, hongera ahmed huwel kwa kutuletea hii burudan iringa
 
Mkuu Jambazi mwenyewe yamenipitia juu juu tu, nilisikia ila nilishindwa kuyafatilia.. Ila naona babu kama kawaida kawakalisha vijana wake..
Babu kiboko! Watu wengi walijua Huwell anachkua kuna dogo tulibet 50k ... alikuwa anasema hamna naona Evo 9 ikatembea mbele ya Ford Fiesta pronto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…