Nilidhani wadau mtakuwa around kutazama mbwembwe za Hart...
Wakati tukisubiri US vs The World...
Dah! ahsante sana kwa kunistua Mkuu si unajua tena pilika pilika za sikukuu ya wapendanao? Yaani nakusoma hapa ndio nikahamisha channel na kuona hii makitu. Ahsante sana.
Game za All Stars huwa zinakuwa broadcasted nchi nyingi za Ulaya na Far East...
Ila bongo hii kitu huwa inasomwa kwenye magazeti unless ufanye streaming...
Mimi kanifurahisha kuwa kashakuwa super star sana kama Kobe na LeBron hivyo inabidi tu atangaze kustaafu...
nipo mkuu..tuko pamoja..this weekend ni murua...
Kevin Hart anapata votes za Sprint NBA All Star Celebrity MVP...
Ni tuzo yake ya nne na naona anatia mbwembwe kuwa eti anastaafu kucheza hizi game...
Kila mwaka ni yeye tu na kina LeBron, Kobe wanaoshinda uMVP...