Dogo kawapoteza sana wenzake asee...
Mimi Korver au Bellineli.
Dogo mzuri sana, halafu nilikuwa sijamstukia kabisa sasa nitaanza kumfuatilia.
Unajua kwa nini ulikuwa hujamstukia?
Ni kwa sababu si mcheza kikapu mzuri kivile.
Anaweza ku dunk kwa manjonjo tu lakini ikija kwenye fundamentals za basketball hafikii hata robo ya KD, LBJ, Tim Duncan, Tony Parker, na wengineo.
Wote chali! Naona hao ni in game shooters