Pamoja na kusema sikio la kufa alisikii dawa leo tumerudi tena kuangalia timu yetu ya taifa ikijaribu kuwaondoa majirani zetu stay tune
Biera nahisi unaandika stool ni nini
aya
gaudence mwaikimba mpwa
Wanasomana mpwa kama wamekunywa vaistroooooooooo ngoja tusubiri ila kuna dogo huyu niyonzima anazunguka uwanjani kama ana mapafu ya mbwa anatutisha sana