Rwanda wanakosa goli hapaa kaseja kaacha golii kakimbilia mpira ukapigwa kwa ju umegonga mlingoti na kutolewa nje duhhhhhh kazi ipi
tumeshapigwa bao! duh!
kuna msafara umenipita hapa waterfront, nahisi mgeni rasmi uvimilivu umemshinda kaamua kula kona. mia
Kazi tunayo leo, hata Rwanda?
Pambafu kabisa huyu refa yaani anamaliza mpira wakati jamaa keshaipangua ngome yote ya kilimanjaro afu kabaki kumchambua tu kaseja. Upumbafu kilimanjaro kutegemea kubebwa na marefa
hahahahahahah...ameona ligwaride la uvumilivu limemshinda.
Julio alisema wanataka kuweka heshima ambayo haitasahaulika!!ndo hii heshima?
Dakika ya 61 inakatika, naona bado wanajipanga kuweka hiyo heshima!
Hawa ndo makocha wazawa tunaowapigia chapuo kila mara!
Kila lenye kheri KILI ya JULIO....
Hivi Mkwasa ni kocha wa timu ya taifa ya wanawake vile!